Home Search Countries Albums

Nipe Nafasi

OKELLO MAX

Nipe Nafasi Lyrics


Aaaaaah
Aaaaaah

Nipeni nafasi, yashakuwa shubiri
Jamani basi, ushachoka wangu moyo
Siamini ulivyo nitenda
Nakupiga redi kadi
We nenda mwana kuenda
Sikudhania utarudia
Nikatarajia utayaacha
Meshafika mwisho wa hii kamba
Na nguvu mi sina

Niling’ang’ania kurudia
Kakupigania kila vita
Sasa nalia sina raha
Mifupa tu hata nyama sina

Aaaaah nipe nafasi ooh
Aaaaah nipe nafasi ooh
Nimechoka mimi nipe nafasi ooh
Niache che niende mama nipe nafasi ooh
Aaaah natesekaa

Ahadi kwa altari, tukianza safari
Kufa kuzikana
Ukaanza kejeli,
We huna dosari, mi ndo wa laana
Pile en fitina okaywe
Okang’eyo meaning mar kwe
Acha nijitoe mzima, kabla nipimishwe sanda
Kila siku kelele, sijui tena maana ya sherehe
Acha nijitoe mzima, kabla nipimishwe sanda

Niling’ang’ania kurudia
Kakupigania kila vita
Sasa nalia sina raha
Mifupa tu hata nyama sina

Aaaaah nipe nafasi ooh
Aaaaah nipe nafasi ooh
Nimechoka mimi nipe nafasi ooh
Niache che niende mama nipe nafasi ooh
Aaaah natesekaa

Gima chako nigi giko mama
Nipe nafasi oooh
Kata kodiaga dhano wuok
Mia thuolo oooh

Nimefika tamati mpenzi nakuachilia
An ti iweya adhi na mema nakutakia

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Boss (Album)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

OKELLO MAX

Kenya

Okello Max is a singer, songwriter, performer and entertainer from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE