Nipe Nafasi Lyrics
Aaaaaah
Aaaaaah
Nipeni nafasi, yashakuwa shubiri
Jamani basi, ushachoka wangu moyo
Siamini ulivyo nitenda
Nakupiga redi kadi
We nenda mwana kuenda
Sikudhania utarudia
Nikatarajia utayaacha
Meshafika mwisho wa hii kamba
Na nguvu mi sina
Niling’ang’ania kurudia
Kakupigania kila vita
Sasa nalia sina raha
Mifupa tu hata nyama sina
Aaaaah nipe nafasi ooh
Aaaaah nipe nafasi ooh
Nimechoka mimi nipe nafasi ooh
Niache che niende mama nipe nafasi ooh
Aaaah natesekaa
Ahadi kwa altari, tukianza safari
Kufa kuzikana
Ukaanza kejeli,
We huna dosari, mi ndo wa laana
Pile en fitina okaywe
Okang’eyo meaning mar kwe
Acha nijitoe mzima, kabla nipimishwe sanda
Kila siku kelele, sijui tena maana ya sherehe
Acha nijitoe mzima, kabla nipimishwe sanda
Niling’ang’ania kurudia
Kakupigania kila vita
Sasa nalia sina raha
Mifupa tu hata nyama sina
Aaaaah nipe nafasi ooh
Aaaaah nipe nafasi ooh
Nimechoka mimi nipe nafasi ooh
Niache che niende mama nipe nafasi ooh
Aaaah natesekaa
Gima chako nigi giko mama
Nipe nafasi oooh
Kata kodiaga dhano wuok
Mia thuolo oooh
Nimefika tamati mpenzi nakuachilia
An ti iweya adhi na mema nakutakia
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Boss (Album)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
OKELLO MAX
Kenya
Okello Max is a singer, songwriter, performer and entertainer from Kenya. ...
YOU MAY ALSO LIKE