Home Search Countries Albums

Unataka nini? Lyrics


Sitakimbizana na wewe eeh
Sitafuatana na wewe eeh
Sitalia na wewe we
Sitacheka cheka na wewe eeh

Sasa iwaje leo hii
Mwili wangu hutaki tena daddy
Sasa iwaje leo hii
Mwili wangu hutaki tena mpenzi

Eti umepata mwingine 
Ni mweupe kunishinda daddy 
Eti umepata mwingine 
Amebeba kunishinda daddy 
Eti umepata mwingine 
Amejaza kunishinda daddy yeah yeah yeah

Niambie nitafanya
Nieleze nitatenda
Nijulishe nitambue

Niambie nitafanya
Nieleze nitatenda
Nijulishe nitambue

Wewe unataka nini wewe
Unataka nini?
Unataka nini wewe
Unataka nini?

Niambie nitafanya
Nieleze nitatenda
Nijulishe nitambue
Niambie nitafanya wee

Unataka nini wewe
Unataka nini?
Oooh, oooh ooh...

Aki matusi mateka mangumi 
Mume wangu wee mwili unaunama
Majirani, rafiki, watoto
Wazazi wangu wee wamechoka kutatua

Unanijaza huzuni machozi
Mawazo tele kichwa itaruka
Madakitari, machifu, polisi
Wazee wa mtaa, huyu ataniua

Mama, bora nirudi nyumbani
Baba, niruhusu niende
Watanisema watanisimanga
Watanisengenya na bora niko uhai
Watanicheka, watanilaani
Watanitukana, Nina amani

Watanisema watanisimanga
Watanisengenya mimi niko uhai
Watasimanga Wananicheka, watanilaani
Mimi niko uhai

Kama hunitaki tena
Niambie niondoke kuliko kunitesa

Wewe unataka nini wewe
Unataka nini?
Unataka nini wewe
Unataka nini?

Niambie nitafanya
Nionyeshe nitatenda
Nijulishe nitambue

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Unataka Nini? (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MUHONJA

Kenya

Muhonja is a Kenyan singer, songwriter, actress, guitarist, social activist, award winning voca ...

YOU MAY ALSO LIKE