Home Search Countries Albums

Maombi Lyrics


Nadia....
(Hoyah hoyah hoyah)
(Hoyah hoyah hoyah)

Nilichopata nikiomba walisema kitakwisha
Nikitoa shukrani hadharani wakasema najigamba
Hao binadamu walinipa wiki
Sasa imepita miaka bado wanasubiri

Kazi ya Mungu haina makosa
Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa

Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi 
Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi 

Hoya hoya,hoyaaah
Hoya hoya,hoyaaah 
Hoya hoya,hoyaaah  

Kazi ya Mungu haina makosa
Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa

Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi 
Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi 

Hoya hoya,hoyaaah
Hoya hoya,hoyaaah 
Hoya hoya,hoyaaah  

Maneno ya wanadamu, yalinilenga kama mishaleee
Ila Mungu hawezi kubali uangukee,
Alichoanzisha leo, lazima atakamilisha  weeeh

Kazi ya Mungu haina makosa
Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa

Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi 
Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi 

Si uchawii weeeh
Si uleviii eeeh
Si kwa nguvu zangu mieee
Si KaNadia katambeeeee

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Maombi (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NADIA MUKAMI

Kenya

Nadia Mukami Mwendo is a Kenyan vocalist, singer, songwriter, singer & performer. Born in Pumwan ...

YOU MAY ALSO LIKE