Acheni Mungu Aitwe Lyrics

Hallelujah, yeah
Halle, hallelujah
Bwana ni mchungaji wangu
Sitakumbukiwa na kitu chochote
Unilazae Kwenye majani mabichi
Uniongozae kwa njia za haki
Nipitiapo kati ya mauti
Sitaogopa wewe una mi
Waandaa meza mbele yangu
Machoni pa watesa wangu
Acheni Mungu aitwe Mungu
Acheni Mungu aitwe Mungu
Acheni Mungu aitwe Mungu
Acheni Mungu aitwe Mungu
(Jehova Jire, Elshadai, Elroi, yote ni yako
Jehova Jire, Elshadai, Elroi, yote ni yako
He! he!he! Yote ni yako
He! he!he! Yote ni yako)
Nimepita kati ya Milima na mabonde
Umesema wewe hutaniacha
Ata wanitukane waniseme,
Utabaki Kuwa milele Mungu wa wanyonge
Waliowachwa waliotengwa unawapiga miyo
Utabaki kuwa milele Mungu wa wanyonge
Nipitiapo kati ya mauti
Sitaogopa wewe una mi
Waandaa meza mbele yangu
Machoni pa watesa wangu
Acheni Mungu aitwe Mungu
Acheni Mungu aitwe Mungu
Acheni Mungu aitwe Mungu
Acheni Mungu aitwe Mungu
(Jehova Jire, Elshadai, Elroi, yote ni yako
Jehova Jire, Elshadai, Elroi, yote ni yako
He! he!he! Yote ni yako
He! he!he! Yote ni yako)
(Yelelelyelee he! Yote ni yako)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Bundle Of Joy (EP)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
NADIA MUKAMI
Kenya
Nadia Mukami Mwendo is a Kenyan vocalist, singer, songwriter, singer & performer. Born in Pumwan ...
YOU MAY ALSO LIKE