Home Search Countries Albums
Read en Translation

Amini Lyrics


Ukifika kwa Kona
Ndo mazuri utaona
Ndo utukufu wake
Ye hawachi Wana wake

Ata wakati unadhania
Maisha yako ni bandia
Shida zakuvamia
Amini zaidi mara Mia

Amini amini eeh
Amini amini eeh

Omba na ulale
Mazuri ukuja ngware
Omba na ulale
Mazuri ukuja ngware

Ni ngumu kuamini matime
Unaona Kama anatake time
Hausongi una mark time
Atakuja na yake time

Nimesoma bibilia na nimeona
Wana muamini anawaona
Nimesoma bibilia na nimeona
Wanao muamini anawaona

Amini amini eeh
Amini amini eeh

Omba na ulale
Mazuri ukuja ngware
Omba na ulale
Mazuri ukuja ngware

Wanao muamini eh Hawa haibiki milele
Wanao muamini eh Hawa haibiki milele

Hii ni yako Kama unapitia kitu yoyote
Unadhani ni ngumu unadhani ni kubwa Sana
Sio shida yako ni shida ya mungu
All you have to do is take it the lord in prayer

Omba na ulale
Mazuri ukuja ngware

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Amini (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MOJI SHORTBABAA

Kenya

Moji Shorbaba is a Kenyan gospel artist from Kelele Takatifu which consist of Didi & Moji Shortb ...

YOU MAY ALSO LIKE