Single Lyrics

Unataja moyo wangu ushafika kapeti
Nishageuka soko
Afadhali niwe solo
Mapenzi masomo bila cheti
Kupenda kasoro
Na tena heri kuwa single
Badala ya kushinda natunga wimbo
Vile umenivunja moyo moyo moyo
Na tena heri kuwa single
Badala ya kushinda natunga wimbo
Vile umenivunja moyo moyo moyo
Afadhali niende zangu zangu baba
Niridhishe moyo wangu wangu sasa
Afadhali niende zangu zangu baba
Niridhishe moyo wangu wangu sasa
Penzi limedai hakuna kufufua
Sitata wa uhai, lazima nitapona
Sitawalaghai mapenzi bila kosa
Upendo wa halaali
Si ulisema unanipenda eeh
Ukaahidi hutanitenga we
Sasa kilio na majuto
Umenitoka kama choyo we
Niko nyuma tu kivumbi we
Nisimulie vipi story yangu
Afadhali niende zangu zangu baba
Niridhishe moyo wangu wangu sasa
Afadhali niende zangu zangu baba
Niridhishe moyo wangu wangu sasa
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Single (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MISS P (KENYA)
Kenya
MISS P also known as Miss Picasah or Queen Picasah (Miss Picante @officialmissp_ born in 2001)& ...
YOU MAY ALSO LIKE