Home Search Countries Albums

Unitue

MIMAH

Unitue Lyrics


Kunicharizia kila kona kila mtaa (Unitue)
Umebeti na mimi Mimah maajabu sina (Unitue)
Kufunua dera kucheza chura kawaida (Unitue)
Vipi unitangazie Mimah heshima sina

Mi singer eeh, najichubua 
Pesa zangu mwenyewe matumizi kunipangia
Nisivae nijajitanua
Eti pesa kidogo ushaanza kutuvimbia

Ushoga kusengenyana sitaki
Kugombania mabwana sitaki
Mi kujifanya unanijua sana sitaki
Vitu kidogo kurogana sitaki

Nyota sina, hela sina
Na bwana ninaye ringia tumeachana
Nyota sina, hela sina
Na bwana ninaye ringia tumeachana

Kuniuliza mambo nisiyoyajua
Baba Levo nalo timi na nyanya bonge la pua
Nikikonda nina ngoma nikinenepa nanunua dozi
Mnaanza wenyewe mkimaliza mi siokoti

Sina wowowo, nina matege
Inanistiri wigi jogoo kama maiti ya bunge
Ninavaa kigodoro, mie mchoyo
Kwanza nina madeni nadaiwa mpaka kiroo

Ushoga kusengenyana sitaki
Kugombania mabwana sitaki
Mi kujifanya unanijua sana sitaki
Vitu kidogo kurogana sitaki

Nyota sina, hela sina
Na bwana ninaye ringia tumeachana
Nyota sina, hela sina
Na bwana ninaye ringia tumeachana

Watoto wa Mbaghala, kinondoni na Masaki
Kunipatapata nakataa mi sitaki
Watoto wa Ilara, Mbunguruni na Shamanzi
Kunipatapata nakataa mi sitaki

Watoto wa Mbaghala si mnaweza
Njoo katikati piga msamba funua dera 
Watoto wa Buza si mnaweza
Njoo katikati piga msamba funua dera 

Mashalove si unaweza
Njoo katikati piga msamba funua dera 
Isma Sergent si unaweza
Njoo katikati piga msamba funua dera 
We Wanjala si unaweza
Njoo katikati piga msamba funua dera 
We my si unaweza
Njoo katikati piga msamba funua dera 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Unitue (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MIMAH

Tanzania

Mimah is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE