Home Search Countries Albums

Subiri (Wait) Lyrics


[CHORUS]
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana

[VERSE 1]
Usichukue njia ya mkato
Usipotoshwe na shauri la wasio haki
Heri mtu yule, afuataye sheria ya bwana
Atakuwa kama mti, kando kando ya maji
Huzaa matunda, kwa majira yake
Kila atendalo atafanikiwa

[CHORUS]
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana

[VERSE 2]
Umekuwa na maswali mengi mno
Unashangaa mungu yuko wapi
Umebisha bisha mungu yuko wapi
Kufunga na kuomba
Kukesha na kuomba
Hupati majibu
Mungu sio mwanadamu, hadanganyi
Subiri kwa imani, subiri, wewe subiri

[CHORUS]
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Subiri (Wait)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MERCY MASIKA

Kenya

Mercy Masika is a Gospel Singer and songwriter from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE