Nitamsifu Lyrics

Nitamsifu Bwana wakati wote, majira yote
Nitaimba fadhili zake, mchana na usiku
Sifa zake zi kinywani mwangu daima
Hekaluni mwake nitasujudu daima
Nitamsifu Bwana wakati wote, majira yote
Nitaimba fadhili zake, mchana na usiku
Sifa zake zi kinywani mwangu daima
Hekaluni mwake nitasujudu daima
Maana kusifu, kunawapaswa
Wanyoofu wa moyo
Mimi na nyumba yangu
Tutamsifu Bwana siku zote (Be the real)
Leo nimeamua
Mimi na nyumba yangu
Tutamtumikia Bwana
Nataka mtaani wajue
Taifa langu wajue
Tutamtumikia Bwana
Marafiki nao wajue
Majirani nao wajue
Tutamtumikia Bwana
Sitarudi nyuma
Wala sitatazama yaliyopita
Hata shetani akinikumbusha
Nitamuonyesha ukurasa mpya
Nitasonga mbele na Yesu
Wala sitaacha familia nyuma
Nitasonga mbele na Yesu
Yesu
Nitatangaza sifa zake
Mbele ya mataifa yote
Sifa zake na zijulikane
Kwa wote eeh
Leo nimeamua
Mimi na nyumba yangu
Tutamtumikia Bwana
Nataka mtaani wajue
Taifa langu wajue
Tutamtumikia Bwana
Marafiki nao wajue
Majirani nao wajue
Tutamtumikia Bwana
Leo nimeamua
Mimi na nyumba yangu
Tutamtumikia Bwana
Nataka mtaani wajue
Taifa langu wajue
Tutamtumikia Bwana
Marafiki nao wajue
Majirani nao wajue
Tutamtumikia Bwana
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Zaidi/ Nitamsifu (Album)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE