Sitaki Lyrics
Iyo trone
Mimi, wewe, mimi
Ntakufa na wewe
Mimi, wewe, mimi
Ntakufa na wewe
Ni Baraka za mungu na malaika
Zimefanya mi nawe tujuane
Sina shaka maana imeandikwa
Ndege warukao wafanane
Sisikii la muadhini
Wala la mnadi swala
Tumelishana yaminia
Kwa dua sio kafara
Sio wa nyuzi tisini
Wala buku shin dara
Mambo ya kuzinizini
Tuwe halali twahala
Kama mapenzi ugonjwa wa mado
Mi kabisa kengeza
Na kama changuoni ndo kikulacho
Mi huyu kanimeza
Na sitaki nishauriwe
Sitaki nishauriwe
Na sitaki nishauriwe
Sitaki nishauriwe
Ngamia wangu
Anifaae jangwani
Nimemuombea dua tusushie njiani
Ngamia wangu
Anifaae jangwani
Nimemuombea dua tusushie njiani
Oh oh usingizi wangu
Zeze la kitandani
Nimemuombea dua tusushie njiani
Ngamia wangu
Anifaae jangwani
Nimemuombea dua tusushie njiani
Kama mapenzi ugonijwa wa macho
Mi kabisa kengeza
Na kama changuoni ndo kikulacho
Mi huyu kanimeza
Na sitaki nishauriwe
Sitaki nishauriwe
Na sitaki nishauriwe
Sitaki nishauriwe
Esh
Ai makopa
Hanimwagia makopa jamani
Ai makopa
Hanimwagia makopa jamani
Esh
Ai makopa
Hanimwagia makopa jamani
Ai makopa
Hanimwagia makopa jamani
Aii ma ma ma ma
Kanimwagia makopa jamani
Ai makopa
Hanimwagia makopa jamani
Aii mwa mwa mwa mwa
Hanimwagia makopa jamani
Aii ma ma ma ma
Kanimwagia makopa jamani
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2023
Album : Sitaki (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
MBOSSO
Tanzania
MBOSSO Khan (real name Mbwana Yusuph Kilungi born 3rd October 1991) is an artist | ...
YOU MAY ALSO LIKE