Home Search Countries Albums

Kiongos

MBOGI GENJE Feat. MBOKOTHO

Kiongos Lyrics


Riambes genje, double genje
Nikusere nikugenje
Nimekwaria wa mbwegze
(Eyo Chino you Again?)

Swali moja ni ati leo kanashikia wapi?
Mali safi baby leo unabebwa na nani?
Venye umebeba si unajua niko inadi
Nikiwa maji huwa sichagui rangi

Leo tuko na watoto
Nisikuone ukidance solo
Mkulima lima poko
Hii baridi ya Nairobi inataka toto

So we do it like this
Hao manguna, hao manguna
Wote wote get down
Kwenye club kiongos
Nimesema pewa chupa
Pewa chuma get down

Kamata pitisha gode imechachisha
Kama ngoko amedai chuma ndani lalisha
Tingisha kinyama, tingisha kinyama
Kama umebarikiwa tingisha kinyama

[Smady]
Kama kawa nimewolan na wazing ting
Na mirista zinaflow kimissisipi
Nikisnadi wanajua si kutifin
Niko idhaa ya kutisa mangwariti

Tunaboss easy ju ni in ting
Inadisia time dis man ndo kingpin
Usitake jua riambes wapinkre
Nikuvybe na mapachu na machingri

Ju ya stuff wameyaku wamesoak
This time genje inwanywaku za kijoke
Bomper bwakala whine ia mdagala
Kabariang undercover kujichapa ndakala

So we do it like this
Hao manguna, hao manguna
Wote wote get down
Kwenye club kiongos
Nimesema pewa chupa
Pewa chuma get down

Kamata pitisha gode imechachisha
Kama ngoko amedai chuma ndani lalisha
Tingisha kinyama, tingisha kinyama
Kama umebarikiwa tingisha kinyama

Niko jug lakini njoti ulete
Ka ni ndae mi husoma na flet
Nina kalenda kwangu kama unataka date
Leo hadi paka ya mkamba iko wet

Kondiko kwenye wallet
Leo kuwateka iko kwenye budget
Nitalipa na MPESA wacha watu wakate
Leta Tusker na Gin hapa tukupate

Vodka kwa mdomo hauwezi skia achuu
Yako inatingika hata ukisimama statue
Niko kutu tunaweza anzia kwenye loo
Tukamalizie keja juu ya curfew prrr

So we do it like this
Hao manguna, hao manguna
Wote wote get down
Kwenye club kiongos
Nimesema pewa chupa
Pewa chuma get down

Kamata pitisha gode imechachisha
Kama ngoko amedai chuma ndani lalisha
Tingisha kinyama, tingisha kinyama
Kama umebarikiwa tingisha kinyama

[Guzman]
Nikiwa matings hutanikosa na tings
So sick na si ati tuko hospital
Shika hasse tukanashima hafere
Piga mileage shash kitu frontline

Kakinyce si hutema kukaanza
Wako too late ju sisi ndo malatest
Aluanda ashapaka ye ni bleacher
Siwezi burnt yaani kusnadi kwa pongi

Umebeba nyagu kumbe we ni paka
Kuziliet ni lazima mtapaka
Ukileta beef si mavegeterian
Haturiau nyagu sema masku

So we do it like this
Hao manguna, hao manguna
Wote wote get down
Kwenye club kiongos
Nimesema pewa chupa
Pewa chuma get down

Kamata pitisha gode imechachisha
Kama ngoko amedai chuma ndani lalisha
Tingisha kinyama, tingisha kinyama
Kama umebarikiwa tingisha kinyama

So we do it like this
Hao manguna, hao manguna
Wote wote get down
Kwenye club kiongos
Nimesema pewa chupa
Pewa chuma get down

Kamata pitisha gode imechachisha
Kama ngoko amedai chuma ndani lalisha
Tingisha kinyama, tingisha kinyama
Kama umebarikiwa tingisha kinyama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Kiongos (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MBOGI GENJE

Kenya

Mbogi Genje also known as "Sheng Masters" is a group of  three artists from Keny ...

YOU MAY ALSO LIKE