Home Search Countries Albums

Tamu Sana

MAXYN Feat. OKELLO MAX

Tamu Sana Lyrics


Tamu sana, tamu sana
Sidhani moyo wangu ushaskia hivi
We ndo umenifanya niskie ka nachizi
Baby nauliza tutapatana lini?

Naeza vaa dera naeza kuvalia mini
Naeza tingiza mpaka ukose kuamini
Naeza zungusha mpaka udhani ni majini
Tofauti ya kujichocha na kujiamini

----
Luo language
----

Ni tamu sana ni tamu
Ama kuna kitu unanifanya
Ju ni tamu sana ni tamu
Naona kuna kitu unanifanya

Endelea, wekelea 
Endelea, wekelea 
Endelea, ekelea  
Ju ni tamu sana ni tamu

Mayo mayo mayo mayo
Ah ukipinda mgongo
Ah bebo bebo bebo
Hera nyoka-- loko
----

Sitobanduka
Design nalishwa mavitu ki kamasutra
Wapi natoa hii nguvu ya kukuacha
Hiki kitendawili jawabu nishapata
Jiko kamili mapenzi yamenoga
Eti baridi darasa nishavuka
Hata Nviiri aliyabaridi mbaya

Ni tamu sana ni tamu
Ama kuna kitu unanifanya
Ju ni tamu sana ni tamu
Naona kuna kitu unanifanya

Endelea, wekelea 
Endelea, wekelea 
Endelea, ekelea  
Ju ni tamu sana ni tamu

Ni tamu sana ni tamu
Ama kuna kitu unanifanya
Ju ni tamu sana ni tamu
Naona kuna kitu unanifanya

Endelea, wekelea 
Endelea, wekelea 
Endelea, ekelea  
Ju ni tamu sana ni tamu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Tamu Sana (Single)


Copyright : (c) 2022


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MAXYN

Kenya

Maxyn Stephanie is an artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE