Unanikosha Lyrics

Mmmmh unanikosha, mmh haujanitosha
Bamia zipo gengeni, dodo ki ndani ya boxer
Unanikosha, mmh haujanitosha
Sura ka Fayvanny, shape ka Sanchoka
Mate yako vipi yakatae pipi
Anajikunja hadi namuuliza nikae vipi?
Ah hapo kisanga naenjoy
Ile jini katoka alafu mganga hupo hoi
Mmh napakata kwa muda nakapata
Mwenzenu nimezibiwa panya kadaka paka
Mi mtupu we nguo halisi
Sema chochote hata ukitaka kituo cha polisi
Unanikosha ka unadaka alafu unapima
Mimi unanikosha ka unawapa alafu unawanyima
Unanikosha ka unawaka alafu unazima
Alafu naingia mwenyewe mi bila kuchimba kisima
Naitwa Maarifa mtoto wa baba
Ile kumwita mtoto akaja
Nachakarika msoto wakaba
Venye unanikosha
Akinipa napokea sikai kona
Kama mapenzi uvogi sitaki kuona
Toka MMB, naitwa Maarifa
We ndo unanikosha
We ndo unanikosha
We ndo unanikosha
We ndo unanikosha
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Unanikosha
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MAARIFA
Tanzania
Maarifa BigThinker whose real names are Rasheed Rais Mohamed is a recording artist and rapper from T ...
YOU MAY ALSO LIKE