Home Search Countries Albums

Unanikosha

MAARIFA Feat. MARIOO

Unanikosha Lyrics


Mmmmh unanikosha, mmh haujanitosha
Bamia zipo gengeni, dodo ki ndani ya boxer
Unanikosha, mmh haujanitosha
Sura ka Fayvanny, shape ka Sanchoka

Mate yako vipi yakatae pipi
Anajikunja hadi namuuliza nikae vipi?
Ah hapo kisanga naenjoy
Ile jini katoka alafu mganga hupo hoi

Mmh napakata kwa muda nakapata
Mwenzenu nimezibiwa panya kadaka paka
Mi mtupu we nguo halisi
Sema chochote hata ukitaka kituo cha polisi

Unanikosha ka unadaka alafu unapima
Mimi unanikosha ka unawapa alafu unawanyima
Unanikosha ka unawaka alafu unazima
Alafu naingia mwenyewe mi bila kuchimba kisima

Naitwa Maarifa mtoto wa baba
Ile kumwita mtoto akaja
Nachakarika msoto wakaba
Venye unanikosha

Akinipa napokea sikai kona
Kama mapenzi uvogi sitaki kuona
Toka MMB, naitwa Maarifa

We ndo unanikosha
We ndo unanikosha
We ndo unanikosha
We ndo unanikosha

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Unanikosha


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MAARIFA

Tanzania

Maarifa BigThinker whose real names are Rasheed Rais Mohamed is a recording artist and rapper from T ...

YOU MAY ALSO LIKE