I miss You Mama Lyrics

Daah
Nashukuru munga kwa yote
It’s me Diva Divana
Mwanaid
Mama angu
This is for you mama
I miss you
I miss you mama
Nikisema sina maumivu
Ntakua naongopa
Nanisinge kuwa mvumilivu
Pengine ningeshakufuata
Nikisema nikusahau
Inashindikana
Japo kidogo Napata angalau leo
Sio kama juzi na jana
Kuna mengi ulinambia
Wengi ukanihusia
Mengine najionea mama
Binadamuu, niishi nao vizuri
Ukanialbia upendo ndo nguzo
Nisionyeshe kiburi
Na nifahamu
Niishikwa tahadhari
Muda mwengine watu wangu wa karibu
Ndo watakua wa hatari (I miss you)
Nakukumbuka mama (I miss you)
Dua ninakuombea (I miss you)
Kazi ya maurana (I miss you)
Dua ninakuombea
Aah, daah
Pengo lako
Halizibiki kamwee
Ungekuepo angalau nikuone
Angalau nikuone
Vituko vyako
Nikikosa uniseme
Busara zako mama
Nitapata wapi kwengine
Natamani kingefanyika chochote
Nikuone walau kwa sekunde, aah
Haiwezekani, nina nashukuru kwa yote
Haipingiki mola
Ndo amepanga uendee
Binadamuu, niishi nao vizuri
Ukanialbia upendo ndo nguzo
Nisionyeshe kiburi
Na nifahamu
Niishikwa tahadhari
Muda mwengine watu wangu wa karibu
Ndo watakua wa hatari (I miss you)
Nakukumbuka mama (I miss you)
Dua ninakuombea (I miss you)
Kazi ya maurana (I miss you)
Dua ninakuombea
Aah, aah
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : I miss You Mama (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE