Home Search Countries Albums

Ma Liar Lyrics


Una bibi nyumbani na bado unadai kutesa
Wacha uma liar, wacha umaliar
Unaniitisha fare na unakosa kukam unadhani ni fair?
Wacha uma liar, wacha umaliar

Zao ni ma car hire
Zao ni ma kukopa na hawananga hata haya
Saa ya kurudisha wote wameretire
Hao ni madingo unaweza eka tyre
Hao ni maliar

Nikiwa mkidi nilikuwa nasimamia viti 
Ndo watu wazima wakae
Na siku hizi watoto wanapanda miti
Utadhani Wangari Mathai

Mafinje mapeni business daily
Wanafungua buti awalipe madeni
Hao ni ma liar, you're lying
Ma lair, stop lying

Kazi ni kukula tu, wacha uma liar
Kazi ni kunyamba tu, wacha uma liar
Hamnanga hata kakitu, wacha uma liar
Stop lying

Una bibi nyumbani na bado unadai kutesa
Wacha uma liar, wacha umaliar
Unaniitisha fare na unakosa kukam unadhani ni fair?
Wacha uma liar, wacha umaliar

Liar Liar bands on fire
Tumepanda ndege tumeshukia ulaya
Na tweng ka Laureen, accent iko sawa
Akisema irain, jua ni ma liar

Na niko jikoni tunacheki tu matoast
Pale kwa gram wanagossip 
Mbele ya misa na maboss
Ndio malaya  wa manoti

Kazi ni kukula tu, wacha uma liar
Kazi ni kunyamba tu, wacha uma liar
Hamnanga hata kakitu, wacha uma liar
Stop lying

Una bibi nyumbani na bado unadai kutesa
Wacha uma liar, wacha umaliar
Unaniitisha fare na unakosa kukam unadhani ni fair?
Wacha uma liar, wacha umaliar

Una bibi nyumbani na bado unadai kutesa
Wacha uma liar, wacha umaliar
Unaniitisha fare na unakosa kukam unadhani ni fair?
Wacha uma liar, wacha umaliar

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Ma Liar (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KRISTOFF

Kenya

Kristoff Barton Namwaya is a Hip Hop music singer from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE