Masalale Lyrics
Chagua utaishi Nyali au Kikambala
Wapi nikupeleke
Najua utakula wali mandi swara
Ama ndizi matoke
Utasonga matuta Abuja
Ama lile pozi la mawigi
Popote ukitaka nitakuja
Tunywe vitu tamu rigirigi
Ng'ara ng'ara mzungu
Msomali huyu ni chotara
Najihisi sukari nikimdara
Amenipumbaza zu zu zu zu
Chocolate colour
Kiuno na kidari kote kara kara
Kutwa natafakati nikimkwala
Akinitawala washa washa masala
Kaniliwaza eeh
Masalale, masalale
Masalale, masalale
Masalale, masalale
Masalale, masalale
Ndo mara ya kwanza namwona cheki alivyoshona
Amejaza kamini na rangi Tanasha Donna
Umesimama wima au unapiga kona
Unavyolisukuma jimbi litakudona
Iyee allow me to be your boyfriend
Nataka nikumarry wewe
Tena inapofika weekend
Nikubebe kwa gari wewe
Ng'ara ng'ara mzungu
Msomali huyu ni chotara
Najihisi sukari nikimdara
Amenipumbaza zu zu zu zu
Chocolate colour
Kiuno na kidari kote kara kara
Kutwa natafakati nikimkwala
Akinitawala washa washa masala
Kaniliwaza eeh
Masalale, huyu mtoto bwana ana vingi vitishio
Masalale, vile anavyofanya yake makusudio
Masalale, ameichanganya akili na fikira
Masalale, ameitawanya hamaki na hasira
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Masalale (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
K.O
South Africa
Ntokozo Mdluli, popularly known by his stage name, K.O, is a South African rapper, co-owner/founder ...
YOU MAY ALSO LIKE