Home Search Countries Albums

Washa Lyrics


Sikiliza navyotaka mi, kukufyakata
Tena peace punguza, izo widada
Izo sali za kudanga danga ni za madada
Umenipanda kichwani, leo huna bahati

Lazima nitakubra dada
Si ulisema unataka battle
Weka viti tuchane na mshete dem wako
Ili baadae muachane

Unajisexy-isha eti una macho mazuri
Utakuja kupakata wahuni sio watu wazuri
Siku hizi nazama ndichi eti zile mbivu
Zile mbivu sizitaki mimi nataka mbichi
Maswala ya kukaa uchi, huo ni upuzi
Kamstue dem wako maana anapenda vijiti

Mara simba dume, mara simba ndike
Mi naona makuku dume na makuku dike
Waambieni wasubiri asubuhi wakawike kokoriko
Ko Ko Ko Ko, kokoriko

Aki ya nani mwaka huu 
Lazima tuwawashe
Tuwawashe tusiwawashe?
Washa, washa, washa washa washa

Wabaya
Washa, washa, washa washa washa
Wanaona haya
Washa, washa, washa washa washa

Wananiita Kirikou aka Baba Yao
Watoto tuwapigi kwanza chapa tu vibao
Unajiita pasipoti wakati una flow moja 
Ya mikikiki

Mmmh yoh, kudadadeki
Mara pop, tushakusoma
Mi nachana na nachana kichina
Mmmh haa, Jin Jho hua

Bubble bubble it hasa
Saba milaba nakata na toba kimada 
Muhaba ni chap chap
Kisha madem ni pop

Namwambia fyatu fyatu
Siku hizi niko Bantu
Eeeh, siku hizi niko Bantu

Mara simba dume, mara simba ndike
Mi naona makuku dume na makuku dike
Waambieni wasubiri asubuhi wakawike kokoriko
Ko Ko Ko Ko, kokoriko

Aki ya nani mwaka huu 
Lazima tuwawashe
Tuwawashe tusiwawashe?
Washa, washa, washa washa washa

Wabaya
Washa, washa, washa washa washa
Wanaona haya
Washa, washa, washa washa washa

Aki ya nani mwaka huu 
Lazima tuwawashe
Tuwawashe tusiwawashe?
Washa, washa, washa washa washa

Wabaya
Washa, washa, washa washa washa
Wanaona haya
Washa, washa, washa washa washa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Washa (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KIRIKOU AKILI

Burundi

...

YOU MAY ALSO LIKE