Home Search Countries Albums

Yote Lyrics


irl you know, ninavyokupenda sina pindo
Moyoni mwangu umezagaa
Shingo, kwako navunja
Nyuma pindo hapa siondoki nakaa

Alakulhali habiti(Aha)
Cha mtende nipe mimi(Aha)
Navyokumiliki kama binti
Na nyimbo nzuri naimba mimi

Nishapendwa, mi napendwa
Walio single hamnipati tena
Nishapendwa, mi napendwa
Kama ka-video weka play tena

Yote yote, yote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh

Nimelika kawaridi 
Acha linidhuru, acha linidhuru
Msimu wa baridi 
Chumbani tuzuru, chumbani tuzuru

Moyo wangu kama kama kama unapenda mbio
Nikimwona mi nadata nadata
Yaani kama mti nakapanda kupanda
Katu siachani naye

Alakulhali habiti(Aha)
Cha mtende nipe mimi(Aha)
Navyokumiliki kama binti
Na nyimbo nzuri naimba mimi

Nishapendwa, mi napendwa
Walio single hamnipati tena
Nishapendwa, mi napendwa
Kama ka-video weka play tena

Yote yote, yote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh

Yeii aaah, ananipa ooh...

Yote yote, yote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Keep It Fleek/ Yote (EP)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KELECHI AFRICANA

Kenya

Kelechi Africana is a musician, singer, songwriter and producer from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE