Yote Lyrics

irl you know, ninavyokupenda sina pindo
Moyoni mwangu umezagaa
Shingo, kwako navunja
Nyuma pindo hapa siondoki nakaa
Alakulhali habiti(Aha)
Cha mtende nipe mimi(Aha)
Navyokumiliki kama binti
Na nyimbo nzuri naimba mimi
Nishapendwa, mi napendwa
Walio single hamnipati tena
Nishapendwa, mi napendwa
Kama ka-video weka play tena
Yote yote, yote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Nimelika kawaridi
Acha linidhuru, acha linidhuru
Msimu wa baridi
Chumbani tuzuru, chumbani tuzuru
Moyo wangu kama kama kama unapenda mbio
Nikimwona mi nadata nadata
Yaani kama mti nakapanda kupanda
Katu siachani naye
Alakulhali habiti(Aha)
Cha mtende nipe mimi(Aha)
Navyokumiliki kama binti
Na nyimbo nzuri naimba mimi
Nishapendwa, mi napendwa
Walio single hamnipati tena
Nishapendwa, mi napendwa
Kama ka-video weka play tena
Yote yote, yote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Yeii aaah, ananipa ooh...
Yote yote, yote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
Ananipa yote yote, yoote eeh
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Keep It Fleek/ Yote (EP)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
KELECHI AFRICANA
Kenya
Kelechi Africana is a musician, singer, songwriter and producer from Kenya. ...
YOU MAY ALSO LIKE