Home Search Countries Albums

Niko Sawa

KELECHI AFRICANA Feat. MR BLUE

Niko Sawa Lyrics


Tam tam tam kanipenda my girl
Beiby huba nikujalie chumbani ulegee
I say chipoloko beiby
Hata gizani nikuweke

Prokoto rege
Uno la soto kisebene

Am so low, low, low low low
Kwako nimezama
Please don't go, go go go
Ukienda nitakwama

I say, I wanna see your hobby beiby
No one can love you like me

Ooh no niko sawa(Sawaa)
Hata waseme ya nini(Sawaa)
Unipe busu bafuni(Sawaa)
Chochote ufanyacho kipenzi(Sawaa)
Yaani niko sawa(Sawaa)

Beiby I love you(Sawaa)
Unipe busu bafuni(Sawaa)
Chochote ufanyacho kipenzi(Sawaa)
Yaani niko sawa

Am okey am alright niko shege niko sawa
Najiona nikipaa na sina mabawa
Naziona story za Adamu na Hawa
Mi mzima au chizi sijui nimepagawa

Whatever you like mama niko sawa
Napenda tuoge pamoja twende shower
Riziki ngoja tusubiri kwa mwenye Baba
Nini Mombasani jioni unywe kahawa

Wapige chini nani na nani ka na mzawa
Ule maini ukiwa nyumbani kwetu kipawa
Baki na mimi mama kwani hatuendi sawa
Gubika kikombe kawawa

Najenga jumba la penzi haliharibiki
Nishapiga roba mama habadiliki
Kwake mi ni zoba sitamaniki
Ushaniroga - ya kwenye kiti 
Basi changanya na viroba na tucheze na muziki

Ooh no niko sawa(Sawaa)
Hata waseme ya nini(Sawaa)
Unipe busu bafuni(Sawaa)
Chochote ufanyacho kipenzi(Sawaa)
Yaani niko sawa(Sawaa)

Beiby I love you(Sawaa)
Unipe busu bafuni(Sawaa)
Chochote ufanyacho kipenzi(Sawaa)
Yaani niko sawa

Mtoto toto wanipa joto
Baridi silali
Kwako funika kidogo
Baridi silali

Mtoto toto wanipa joto
Baridi silali
Kwako funika kidogo
Baridi silali

Sawaa, sawaa, sawa sawa
Sawaa, sawaa, sawa sawa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Keep It Fleek/ Niko Sawa (EP)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KELECHI AFRICANA

Kenya

Kelechi Africana is a musician, singer, songwriter and producer from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE