Home Search Countries Albums

Sitachoka

JUSTUS MYELLO

Sitachoka Lyrics


Aah sitachoka mimi
Yesu yuko upande wangu sitachoka

Ulinifia niokoke 
Ata kama sikuwepo mimi
Ulie ni kwa msalabani
Moyoni naamini

Nikadhani nitabobea
Kimaisha nitatoboa ila
Ona leo nateseka
Hata riziki sina

Pole pole ndo mwendo sawa
Haraka haina baraka sana
Aii sitakimbia kabla 
Hallo baba nijalie

Nachorea kulalamika
Akikawia tena sitadandia
Yangu yakikawia
Mwisho atanipa wakati wake

Mi sichoki, zamu yangu inakuja
Najipa moyo, muujiza wangu bado upo
Sitachoka, zamu yangu inakuja
Najipa moyo, muujiza wangu bado upo

Wengi wanashuhudiaga
Vile unawatendeaga
Hata na mimi bwana eeh 
Nibariki nione 

Niepushe na wao wale
Wenye mawazo mabaya
Nisije shikwa na tamaa
Mwishowe nikusahau

Iyaa niepushe nao
Niwe mbali nao aah
Unitenge nao
Nisije kuwa kama wao

Iyaa niepushe nao
Niwe mbali nao aah
Unitenge nao
Nisije kuwa kama wao

Nachorea kulalamika
Akikawia tena sitadandia
Yangu yakikawia
Mwisho atanipa wakati wake

Mi sichoki, zamu yangu inakuja
Najipa moyo, muujiza wangu bado upo
Sitachoka, zamu yangu inakuja
Najipa moyo, muujiza wangu bado upo

Mi sichoki, zamu yangu inakuja
Najipa moyo, muujiza wangu bado upo
Sitachoka, zamu yangu inakuja
Najipa moyo, muujiza wangu bado upo

Mi sichoki, zamu yangu inakuja
Najipa moyo, muujiza wangu bado upo
Sitachoka, zamu yangu inakuja
Najipa moyo, muujiza wangu bado upo

Mi sichoki, zamu yangu inakuja
Najipa moyo, muujiza wangu bado upo
Sitachoka, zamu yangu inakuja
Najipa moyo, muujiza wangu bado upo

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Sitachoka (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JUSTUS MYELLO

Kenya

Justus Myello is an artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE