Rais Magufuli (Safiri Salama) Lyrics

Oh Afrika tunalia
Tumempoteza kiongozi shujaa
Rais John Pombe Magufuli
RIP Rais
Rais Magufuli safiri salama
Rais Magufuli pumzika vyema
Umekuwa mtenda kazi umeacha alama
Wewe ni shujaa tutaonana tena
Safiri salama, rais Mafuguli wewe
Mungu akipenda tutaonana tena
Safiri salama, rais Mafuguli kwaheri
Mungu akipenda tutaonana tena
Kilio kimetanda Tanzania Africa
Dunia nzima tumepoteza shujaa
Ewe Mungu fariji mioyo yetu
Tunapoomboleza rais Magufuli
Fariji jamii yake
Mama na watoto wake
Watanzania wote
Panguza machozi yao
Safiri salama, rais Mafuguli wewe
Mungu akipenda tutaonana tena
Safiri salama, rais Mafuguli wewe
Mungu akipenda tutaonana tena
Safiri salama, rais Mafuguli kwaheri
Mungu akipenda tutaonana tena
Kwa kweli tulikupenda sana Rais Magufuli
Lakini Mungu amekupenda zaidi
Ametupatia na amechukua wakati wake
Kazi uliofanya Magufuli
Kwa waTanzania na Wa Afrika
Tutakukumbuka milele mioyoni mwetu
Kupigana na ufisadi
Umeinua maisha ya wananchi
Umeinua uchumi wa nchi
Tutakukumbuka
Safiri salama, rais Mafuguli wewe
Mungu akipenda tutaonana tena
Safiri salama, rais Mafuguli kwaheri
Mungu akipenda tutaonana tena
Kwa kweli ulikuwa rais mwenye maono
Rais mwenje ujasiri kwa matendo
Ulipenda amani na kuunganisha wananchi
Rest in Peace Rais John Pombe Magufuli
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Rais Magufuli (Safiri Salama) (Single)
Copyright : © 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
JUSTINA SYOKAU
Kenya
Justina Syokau is a born again Kenyan Award winner Gospel Artist and a motivational speaker from Mac ...
YOU MAY ALSO LIKE