Juu Lyrics

If i wake up tomorrow and i didn’t find me
I loose it all, i loose it all
Na niki pata mwanga wangu
Umepotea , niko gizani
Mi sifi moyo
Si kufi moyo
Cuz
Na angalia juu, Na tazamia juu , Juu sana
Na anangalia juu
Na mtazamia mungu
Na angalia juu, Na tazamia juu , Juu sana
Na anangalia juu
Na mtazamia mungu
Tangu hapo jadi
Umenipa amani
Uka nivisha thamani
Kwangu mimi
Na tena huku jali
Pale msalabani
Ufaka jili (ya mimi) yeh!yeh!yeh!
Gongo lako na fimbo yako
Vya nifariji mimi bwana
Yu name, yu name bwana
Gongo lako na fimbo yako
Vya nifariji mimi bwana
Yu name, yu name bwana
Na angalia juu, Juu juu juu
Na tazamia juu, Juu juu juu
Juu sana
Na angalia juu , Juu juu juu
Na matazamia mungu
Yeah!yeah!yeah!
Na angalia juu, Juu juu juu
Na tazamia juu, Juu juu juu
Juu sana
Na angalia juu , Juu juu juu
Na matazamia mungu
Izo baraka
Zi come come, zi come come, zi come come, zi come come Wouh
Shower your blessings
All over the world
Izo baraka
Zi come come, zi come come, zi come come, zi come come
Shower your blessings
All over Kenya
Gongo lako na fimbo yako
Vya nifariji mimi bwana
Yu name, yu name bwana
Gongo lako na fimbo yako
Vya nifariji mimi bwana
Yu name, yu name bwana
Na angalia juu, Juu juu juu
Na tazamia juu, Juu juu juu
Juu sana
Na angalia juu , Juu juu juu
Na matazamia mungu
Yeah!yeah!yeah!
Na angalia juu, Juu juu juu
Na tazamia juu, Juu juu juu
Juu sana
Na angalia juu , Juu juu juu
Na matazamia mungu
If i wake up tomorrow
And i didn’t find me
I loose it all, i loose it all
Na niki pata mwanga wangu
Umepotea , niko gizani
Si kufi moyo
Usife moyo
Yei yei yeiii yeeaah !
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Juu (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
JOWIE IRUNGU
Kenya
Jowie Irungu is a Kenyan gospel artist, entrepreneur and media personality. He rose to fame after he ...
YOU MAY ALSO LIKE