Nitabibu wa Karibu Lyrics

Ni tabibu wa karibu tabibu wa ajabu;
na rehema za daima ni dawa yake njema.
Imbeni, malaika sifa za Yesu Bwana
pweke limetukuka jina lake Yesu
Hatufai kuwa hai wala hatutumai
ila yeye kweli ndiye atupumzishaye
Imbeni malaika sifa za Yesu Bwana
pweke limetukuka jina lake Yesu
Dhambi pia na hatia ametuchukulia
Twenendeni na amani hata kwake mbinguni
Huliona tamu jina, la Yesu kristo Bwana
yuna sifa mwenye kufa asishindwe na kufa
Kila mume asimame, sifa zake zivume
Wanawake na washike kusifu jina lake.
Na vijana wote tena, wampendao sana,
waje kwake wawe wake kwa utumishi wake.
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2008
Album : Nitabibu wa Karibu (Single)
Copyright : ©2008
Added By : Trendy Sushi
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE