Home Search Countries Albums

Nitabibu wa Karibu

JOSE WA MAPENDO

Nitabibu wa Karibu Lyrics


Ni tabibu wa karibu tabibu wa ajabu;
na rehema za daima ni dawa yake njema.

Imbeni, malaika sifa za Yesu Bwana
pweke limetukuka jina lake Yesu

Hatufai kuwa hai wala hatutumai
ila yeye kweli ndiye atupumzishaye

Imbeni malaika sifa za Yesu Bwana
pweke limetukuka jina lake Yesu

Dhambi pia na hatia ametuchukulia
Twenendeni na amani hata kwake mbinguni

Huliona tamu jina, la Yesu kristo Bwana
yuna sifa mwenye kufa asishindwe na kufa

Kila mume asimame, sifa zake zivume
Wanawake na washike kusifu jina lake.

Na vijana wote tena, wampendao sana,
waje kwake wawe wake kwa utumishi wake.

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2008


Album : Nitabibu wa Karibu (Single)


Copyright : ©2008


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

JOSE WA MAPENDO

Kenya

Jose Wamapendo is a gospel artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE