Home Search Countries Albums
Read en Translation

Uwe Hai Lyrics


Mbali ninayatupa hayo yote yakushirakiyo

Maana Mii Ni Mwenyezi Mungu, Usinzie nakufunika

Tena Mimi Niko Naweza kukutunza, kwa Neno la Kinywani mwangu

Na utayalalia haya Maneno

Kisha na mkono wangu

utakandamiza malengo ya wabaya

Maana Mimi Niko

Nitakulinda kwa gongo la Upendo wangu

Uwe hai, natamka, uwe hai.

Uwe hai, eweee Uwe hai

Uwe hai, eweee Uwe hai

Wee mifupa ilio kauka , Ewe uwe hai

Wee mifupa mikavu ewe uwe hai

Akanitazama kwa utele wa upendo wake

Eti uwe hai

Akanitazama, kwa utele wa Rehema Zake

Eti uwe hai

Akanitazama kwa utele wa upendo wake

Eti uwe hai

Akanitazama, kwa utele wa Rehema Zake

Eti uwe hai

Uko na alama ya damu yake mpenzi

We ni wangu mi wako ooh

Hayo ninayasema

Uko na alama ya damu yake mpenzi

We ni wangu mi wako ooh

Hayo ninayasema

We ni wangu mi wako ooh

Hayo ninayasema

Uko na alama ya damu yake mpenzi

We ni wangu mi wako ooh

Hayo ninayasema

We ni wangu mi wako ooh

Hayo ninayasema

Uwe hai, eweee Uwe hai

Uwe hai, eweee Uwe hai

Wee mifupa ilio kauka , Ewe uwe hai

Wee mifupa mikavu ewe uwe hai

Akanitazama kwa utele wa upendo wake

Eti uwe hai

Akanitazama, kwa utele wa Rehema Zake

Eti uwe hai

Akanitazama kwa utele wa upendo wake

Eti uwe hai

Akanitazama, kwa utele wa Rehema Zake

Eti uwe hai

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Copyright : ©12stonesRecord


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ISRAEL MBONYI

Rwanda

ISRAËL MBONYI born ISRAËL MBONYICYAMBU on  May 20th 1992 in the Southern province of ...

YOU MAY ALSO LIKE