Home Search Countries Albums

NIREHEMU BABA YANGU

AMBASSADORS OF CHRIST CHOIR

NIREHEMU BABA YANGU Lyrics


Aliniona bwana akaniwaza kuwa mwaminifu
Akatunza neno lake ndani ya mwoyo wangu
Kaufunguwa upendo wake wa thamani
Na kunipenda mimi
Maana aliniwaza kuwa mtu apendekae

Ole wangu bwana wangu uuh
Nimara ngapi nime kuvunja moyo
Nimara ngapi nimekuabisha
Nina majonzi mengi moyoni baba maana
Sikuenenda sawa na mapenzi yako
nani ataniponya haah isipo kuwa wewe
nirehemu baba yangu

Mbele ya wali mwengu
Nina mfano wakuaminika
Lakini nilicho kweli
Ninajua mwenyewe
Ole wangu kama nitapimwa
Nakukutwa napungua
Bwana niwezeshe kauli yangu
Iwe ndiyo matendo
(Bwana aaah kauli yangu uuh matendo)

Ole wangu bwana wangu uuh
Nimara ngapi nime kuvunja moyo
Nimara ngapi nimekuabisha
Nina majonzi mengi moyoni baba
Maana
Sikuenenda sawa na mapenzi yako
nani ataniponya haah isipo kuwa wewe
Nirehemu baba yangu

Mbele ya wali mwengu
Tuna mfano wakuaminika
Lakini tulicho kweli
Tunajua wenyewe
Ole wetu kama tutapimwa
Nakukutwa tunapungua
Wakati ni sasa kurekebisha mienendo yetu
(Ahahahah miendendo yetu)

Ole wangu bwana wangu uuh
Nimara ngapi nime kuvunja moyo
Nimara ngapi nimekuabisha
Nina majonzi mengi moyoni baba
Maana
Sikuenenda sawa na mapenzi yako
Nani ataniponya haah isipo kuwa wewe
Nirehemu baba yangu

Ole wangu bwana wangu uuh
Nimara ngapi nime kuvunja moyo
Nimara ngapi nimekuabisha
Nina majonzi mengi moyoni baba
Maana
Sikuenenda sawa na mapenzi yako
nani ataniponya haah isipo kuwa wewe
Nirehemu baba yangu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : NIREHEMU BABA YANGU (Single)


Added By : Florent Joy

SEE ALSO

AUTHOR

AMBASSADORS OF CHRIST CHOIR

Rwanda

  Ambassadors of Christ Choir is a choir located in Kigali, Rwanda. Created in 1995, this choir ...

YOU MAY ALSO LIKE