Home Search Countries Albums

Nimepona

IBRAAH

Nimepona Lyrics


Macho yangu yana tamani kukuona
Ila moyo ume goma
Umecheza na hisia zangu
Kumbe si fungu nilichagua koloma
Minasha nga macho yana tamani kukuona
Ingali mabaya yali shuhudia
Na kidogo nilicho kua nacho
Ndo fanya uka ni kimbia
Yani kama nili chomwa na mwiba mahali
Maumivu yakanipa shida na
Siunge sema kama umeshiba mapenzi yangu
Mapenzi yangu wee
Maana uliyo fanya sioya kawada maa
Je ungeniua na cha roho kijiba na
Nika ji kokota huku nikimwomba mungu wangu kutwa aniponye
So kwa ubaya
Nime jiuguza na nimepona wewe
Nime jiuguza na nimepona
Mi mzima wa afya
Nime jiuguza na nimepona
Yalini tesa ila sijafa
Nime jiuguza na nimepona

Wenda uli wish nipite mabaya
Moyo wako si umejenga shuki sawa
Changu kindege umeota mbawa
Hauja niuza bure bure umenigawa
Nenda utapata anae kupenda
Wenda utampenda be aaya
Mi kosa kukupenda ukaniona mwana kwenda aaya
Nilipo ongeza upendo mabaya ulifanya dhahiri kwa vitendo
Kumbe zero malengo, kwa ngu uli follow tendo
Zile baby baby
Kumbe ulinizuga baby
Yani kama nili chomwa na mwiba mahali
Maumivu yaka nipa shida na
Siunge sema kama umeshiba mapenzi yangu
Mapenzi yangu we
Maana uliyo fanya sioya kawada maa
Je ungeniua na cha roho kijiba na
Nika ji kokota huku nikimwomba mungu wangu kutwa aniponye
So kwa ubaya
Nime jiuguza na nimepona wewe
Nime jiuguza na nimepona
Mi mzima wa afya
Nime jiuguza na nimepona
Yalini tesa ila sijafa
Nime jiuguza na nimepona

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Nimepona (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

IBRAAH

Tanzania

IBRAAH real name Ibrahim Abdallah Nampunga (born 3rd July 1998) is an artist, singer, ...

YOU MAY ALSO LIKE