Home Search Countries Albums

Zuzu

TONY TREEZ Feat. MR BLUE

Zuzu Lyrics


Unavyonikuna kuna kuna mama 
Naskia raha, yoyoyoyo...ah, Skia raha
Tena unanibana bana bana sana
Ushanikaraha ah ah ah ah

Ai chuma unakipasha moto
Moto moto nasikia
Nideke kama mtoto, toto toto
Narukia

Penzi halilinganishwi ka kandili
Ooooh oooh
Nifiche unisitiri eeh

Nishakuwa zu, ah zu, ah zuzuzu ayee
Kwako nishakuwa zu, ah zu, ah zuzuzu ayee
Tena nimekuwa zu, ah zu, ah zuzuzu ayee
Zu, ah zu, ah zuzuzu ayee

Nimekuwa zuzu, chizi wa --
Nimekuwa bubu, pimbi wege
Penzi nalotubu ni la mimi na wewe
Ushanisulubu nipe kilevi nilewe
Ichanganye vizuri na hiyo dawa ya liwata
Nikishapagawa nipe dawa ya kudata
Tusipokwenda sawa moyo unakwenda fasta
Nishakuwa mahala unapopenda ukale bata

Nimekuwa zuzu, zuzu jinga
Kila unachosema hewara sitokupinga
Kila tukishindana kwa hoja unanishinda
Unajua nakupenda na ndo maana unaringa

Penzi halilinganishwi ka kandili
Ooooh oooh
Nifiche unisitiri eeh

Nishakuwa zu, ah zu, ah zuzuzu ayee
Kwako nishakuwa zu, ah zu, ah zuzuzu ayee
Tena nimekuwa zu, ah zu, ah zuzuzu ayee
Zu, ah zu, ah zuzuzu ayee

Usije kazingua ah zu
Sasa sasambua ah zu
Changa kitumbua ah zu
Chimba menengua ah zu

Penzi umetusua ah zu
Tunzo unanyenyua ah zu
Ganda girl zingua ah zu
Useme nasugua, aah eeh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Zuzu (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

TONY TREEZ

Tanzania

TONY TREEZ is a super star musician in East africa signed under ZAIDIYAO MUSIC(ZYM). ...

YOU MAY ALSO LIKE