Mapenzi Lyrics

Ndo aaah...aah
(Mr Simon)
Aya aah aah eh eeh ehh..
Amini unayempenda
Naye ana wake anayependa pia
Na siku zinakwenda aah
Na hata yule anayempenda
Naye ana wake anayemwita dear
Haya mapenzi mwana kwenda aah
Na ni yale yale mapenzi
Yalotesa mabibi na mababu hadi leo
Mie mwenzenu siyawezi
Ni bora uyashuhudie kwa mwenzio ama kwa video
Usione mtu analiaga
Ukadhani ni utoto
Mapenzi yana vingi vituko
Nyingi changamoto ona
Ukimpata anayekudhamini mna
Tulia na utunze yake heshima
Ujue ndo ukashazama kwa kina wewe
Ah we vipo kwa kuvumilia
Lakini sio mapenzi
Mapenzi yanaumiza
Mi ndio maana siyawezi
Vipo kwa kuvumilia
Lakini sio mapenzi
Mapenzi yanaumiza
Mi ndio maana siyawezi
Ah we penda unapopenda
Unapo amini kwamba amani ya moyo wako ipo
Na ukikosa unachopenda
Utapagawa bure atafanya matambiko
Na na hata ukipenda kweli
Hawezi jua sababu ni siri ya moyo wako
Hata kama ukifeli
Atapuuzia ili uteseke tu peke yako
Ngoswe kitovu cha uzembe
Ukipenda huoni
Na unayependa hajui
Hatambui kama ye ndo ako mbooni
Hata akisema amechoka
We zidi kumpenda hivyo hivyo
Maana mapenzi hayana mwenyewe aah
Unaeza ukaondoka
Ukaenda kupenda pengine
Napo ukakuta ndivyo sivyo
Ukajihisi una mkosi wewe aah
Ukimpata anayekudhamini mna
Tulia na utunze yake heshima
Ujue ndo ukashazama kwa kina wewe
Ah we vipo kwa kuvumilia
Lakini sio mapenzi
Mapenzi yanaumiza
Mi ndio maana siyawezi
Vipo kwa kuvumilia
Lakini sio mapenzi
Mapenzi yanaumiza
Mi ndio maana siyawezi
(Ibraah, Konde Music)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Karata 3 (EP)
Copyright : (c) 2021 Konde Music Worldwide
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
IBRAAH
Tanzania
IBRAAH real name Ibrahim Abdallah Nampunga (born 3rd July 1998) is an artist, singer, ...
YOU MAY ALSO LIKE