Home Search Countries Albums

Leo

IBRAAH

Read en Translation

Leo Lyrics


Kama nimetoroka milembe

Sina chambi

Nacho amini ipo siku ntazipata najua

Ogopa dhambi

Shukuru mungu kwa pumzi unayo pumua

Siku hazigandi

Nacho shukuru sikuzi wanafki wamepungua

Uongo dhambi

Sote tunajua, tunajua

Dunia ni kambi

Na maisha ni hatua kwa hatua

Uki mind mind

Likipangwa huwezi pangua kupangua

Kabla ya chochote lolote eh

Mungu kwanza

Na tukipata tunashukuru

Mungu kwanza

Oya popote kivyovyote eh eh

Mungu wa kwanza

Na tukikosa hatukuru

Mungu kwanza

Ooh ooooh oh

Naishi leo siishi jana

Ooh ooooh oh

Anaepanga kesho maulana

Ooh ooooh oh

Naishi leo siishi jana

Ooh ooooh oh

Anaepanga kesho maulana

Yaw yaw

Mitaa imenifanya niwe konde (konde)

Napendwa ninenepe nikonde

I don’t fear them

Simuogopi mwenye kisu

Maana mungu wangu anapanga

Hata wakifanya figisu bure

Hunioni kwa waganga

Kongegang chama lenu

Hili goma kwajili yenu

Wengine wote bebe zenu

Ila kajala ndio mama yenu

Eti sifanikiwi

Mara ooh ex harudiwi

Shida nikisha vuta mi kiziwi

Nikisha moker mi kiziwi

Kabla ya chochote kwa lolote

Mungu kwanza

Tukipata tunashukuru

Mungu kwanza

Popote kivyovyote

Mungu kwanza

Tukikosa hatukuru

Mungu kwanza

Amen

Naishi leo siishi jana

Ooh ooooh oh

Anaepanga kesho maulana

Ooh ooooh oh

Naishi leo siishi jana

Ooh ooooh oh

Anaepanga kesho maulana

Yaw yaw

Konde boy call me number one

Chingaa

Konde music worldwide

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

IBRAAH

Tanzania

IBRAAH real name Ibrahim Abdallah Nampunga (born 3rd July 1998) is an artist, singer, ...

YOU MAY ALSO LIKE