Umwaminifu Lyrics
Nimejawa na furaha
Nikikumbuka tu ni jana
Nilikulilia Bwana
Nikidhani umeniacha
Nimejawa na furaha
Nikikumbuka tu ni jana
Nilikulilia Bwana
Nikidhani umeniacha
Leo hii naimba
Mwaminifu Rabana
Ahadi zako
Umetimiza
Umwaminifu,Yesu
Umwaminifu, Baba
Umwaminifu leo
Na milele
Umwaminifu,Yesu
Umwaminifu, Baba
Umwaminifu leo
Na milele
Nafsi yangu yakungoja
Wewe wokovu wangu
Nakutizama wewe
Pekee Adonai
Mwamba na mlinzi wangu
Tegemeo na nguvu zangu milele
Sitariki maana wewe
Umwaminifu, mwaminifu
Umwaminifu, Mimi najua
Umwaminifu leo
Na milele
Umwaminifu, Mungu wa kweli
Umwaminifu, Oooh Yahweh
Umwaminifu leo
Na milele
Jana(Jana)
Leo na milele, Yesu wee
Jana(Jana) Leo na milele
Naimba tena
Jana(Umwaminifu) leo na milele
Naimba tena
Jana(Umwaminifu) leo na milele
Jana(Umwaminifu) leo na milele
Naimba tena
Jana(Umwaminifu) leo na milele
Na milele
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Umwaminifu (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE