Home Search Countries Albums

Kidogo Tu

GWAASH Feat. K4 KANALI

Kidogo Tu Lyrics


Yeah yeah yeah
Njoo tukate kate
Njoo tukate kate
Njoo tukate kate
Gordon Faxe Faxe
Blunder gane gane
Blunder gane gane

Baby sitaki mob ni kidogo tu
Tena sikai sana kidogo tu
Kama unadai kuonja, kidogo tu
Kidogo tu, kidogo tu, kidogo tu

Kidogo tu hio size mi sinaga
Chunga usikose ukipima na rada
Ju naskia we hutaka lakini hukunitaka
Vile ulinimarisa area nilikupata

Ni sawa, acha nikupeleke na rada
Jina ni Kanali, kapitan master
Mi hupenda angle theta ukiona na duster
Bado sijafika nataka kumwaga 
Kubwaga kuzied, kusiepa na rada
Keshie akikosa unajua ni lawama
Ambapo tuko bukla unataka unataka
Eh unataka unataka unataka

Baby sitaki mob ni kidogo tu
Tena sikai sana kidogo tu
Kama unadai kuonja, kidogo tu
Kidogo tu, kidogo tu, kidogo tu

Baby sitaki mob ni kidogo tu
Tena sikai sana kidogo tu
Kama unadai kuonja, kidogo tu
Kidogo tu, kidogo tu, kidogo tu

Anasema ananipenda (Kidogo tu)
Lakini nina hela (Kidogo tu)
But kama unadai kuichapa
Itabidi umeichapa (Kidogo tu)

Pamba yangu imewaka (Kidogo tu)
Gwaash ni mtu wa maringi (Kidogo tu)
Ati Moraa amenyamba (Kidogo tu)
Na inanuka sana sink (Kidogo tu)

Ati mimi hupenda gut kwa wingi
Na vela kidogo tu ai ai
Kidogo lakini sina mambo na watu
Ichoma sana kama (Kidogo tu)

Njoo tukate kate
Gordon Faxe Faxe
Blunder gane gane
Blunder gane gane

Baby sitaki mob ni kidogo tu
Tena sikai sana kidogo tu
Kama unadai kuonja, kidogo tu
Kidogo tu, kidogo tu, kidogo tu

Baby sitaki mob ni kidogo tu
Tena sikai sana kidogo tu
Kama unadai kuonja, kidogo tu
Kidogo tu, kidogo tu, kidogo tu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Fat Boys (Album)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

GWAASH

Kenya

Fatboy Gwaash aka Mr. Sponyo real name Martin Wagura (Born 1st April 1997) is a Kenyan Gengeton ...

YOU MAY ALSO LIKE