Yesu Sio Mwizi Lyrics

Mmh ooh ooh
Ooh ooh
Yesu sio mwizi lakini
Ameuiba moyo wangu
Yesu si police anifunge
Ananibeba bembeleza
Yeye ni rafiki wa dhati
Akiahidi lazma atatenda
Yesu ni mfalme wa amani
Kuwa karibu naye natamani
Yesu sio mwizi lakini
Ameuiba moyo wangu
Yesu si police anifunge
Ananibeba bembeleza
Yeye ni rafiki wa dhati
Akiahidi lazma atatenda
Yesu ni mfalme wa amani
Kuwa karibu naye natamani
Yesu Yesu ni rafiki
Nimemuona dhabiti
Yesu Yesu ni rafiki
Ahadi zake kweli
Yesu Yesu ni rafiki
Nimemuona dhabiti
Yesu Yesu ni rafiki
Ahadi zake kweli
Okhusubirira mu mwami
Nobulai mumwoyo kwanje
Okhulonda amalako kake
Embulira ashuya eshikhaya
Yesu nomulina wa toto
Okholanga amalako kake
Yesu nomulina wa toto
Okhuba ahembi ninae enjamanga aah
Yesu Yesu nomulina
Emulolanga bane
Yesu Yesu nomulina
Amalako kake toto
Yesu Yesu nomulina
Emulolanga bane
Yesu Yesu nomulina
Amalako kake toto
Yesu Yesu ni rafiki
Nimemuona dhabiti
Yesu Yesu ni rafiki
Ahadi zake kweli
Yesu Yesu ni rafiki
Nimemuona dhabiti
Yesu Yesu ni rafiki
Ahadi zake kweli
Kumtegemea Yesu ni utamu sana
Kukubali neno lake raha moyoni
Kumtegemea Yesu ni utamu sana
Kwake saima nimepata uzima na amani
Kumtegemea Yesu ni utamu sana
Kukubali neno lake raha moyoni
Kumtegemea Yesu ni utamu sana
Kwake saima nimepata uzima na amani
Yesu Yesu ni rafiki
Nimemuona dhabiti
Yesu Yesu ni rafiki
Ahadi zake kweli
Yesu Yesu ni rafiki
Nimemuona dhabiti
Yesu Yesu ni rafiki
Ahadi zake kweli
Neno lake bwana ni kweli na amina
Ahadi zake kweli
Akiahidi kitu lazma atatenda
Ahadi zake kweli
Mungu ni mwaminifu ooh
Ahadi zake kweli
Ahadi zake kweli (Ahadi zake kweli)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2023
Album : Yesu Sio Mwizi (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
GUARDIAN ANGEL
Kenya
Audiphaxad Peter, better known as Guardian Angel, is a Gospel afrorap and dancehall singer and Songw ...
YOU MAY ALSO LIKE