Home Search Countries Albums

Amini Lyrics


Una miaka kibao unakazana
Ingawa hali ni ngumu
Unapambana pambana
Wenzako wa rika lako lako
Walishapata maana
Ukikutana nao wanakushangaa sana
Hali ya maisha yako
Inafanya unasononeka sana
Mke na watoto wako
Wameondoka una urweke bana
Hali ya maisha yako
Inafanya unasononeka sana
Mke na watoto wako
Wameondoka una urweke bana
Eh eh eh
Eh eh eh

Muamini
Ingawa hali ni ngumu sana, amini
Ipo siku yako yako, amini
Ingawa mbele unaona gizawe, amini
Ipo siku yako yaja

Ipo siku yako yaja leo
Amma kesho ama badae
Cha kufanaya ni
Kutia bidi na kuamini
Ipo siku yako yaja leo
Amma kesho ama badae
Cha kufanaya ni
Ku celebrate wenzako
Shangilia mwenzako
Anapofanikiwa
Furahia mwenzako
Anapobarikiwa
Nawe kwa siku yako
Tutashangilia
Nawe kwa siku yako
Tutakufurahia

Muamini
Ingawa hali ni ngumu sana, amini
Ipo siku yako yako, amini
Ingawa mbele unaona gizawe, amini
Ipo siku yako yaja

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Amini (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

GUARDIAN ANGEL

Kenya

Audiphaxad Peter, better known as Guardian Angel, is a Gospel afrorap and dancehall singer and Songw ...

YOU MAY ALSO LIKE