Home Search Countries Albums

Kaa Mbali

EQUE

Kaa Mbali Lyrics


Si ni ule dem ana IQ
Yeah Eque Rrrrh

Wewe ni hater kaa mbali
Wewe ni fake kaa mbali
Wewe ni fisi kaa mbali
Mimi sitaki kaa mbali

Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi
Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi

Wewe ni hater kaa mbali
Wewe ni fake kaa mbali
Wewe ni fisi kaa mbali
Mimi sitaki kaa mbali

Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi
Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi

Mimi ni moto na huwezi niota
Acid vile nakuchoma
Mambleina mi huwatoka
Tukipatana wanapiga kona

Flow yangu ni ill ina coma
Nikiwashika utadhani mi ni homa
Aah zii hii ni Corona
Invincible huwezi niona

Huwezi toroka
Nilitoka China nililand na Toyota
Na mi si fake usidhani nachocha
One take kama beat ni noma
Sai niko flight mode siwezi bonga

Vile nimethoka nadai kuomoka
Baby steps na ni mbali nimetoka
Sikia vile vibes sasa ni noma
Kaa mbali hii vumbi inagoroka

Walai nimebonda songa mbali
Presha imefanya mimi silali
Ka we ni rapper sikia sijali
Nop coz mi ni big dog umbwa kali
Kuna mtu alisema sitoshi huwezani mimi si softi
I kill a beat waseme we sorry
Nimejipin nimekwama niko ndani

Wewe ni hater kaa mbali
Wewe ni fake kaa mbali
Wewe ni fisi kaa mbali
Mimi sitaki kaa mbali

Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi
Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi

Wewe ni hater kaa mbali
Wewe ni fake kaa mbali
Wewe ni fisi kaa mbali
Mimi sitaki kaa mbali

Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi
Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi

Dem mahuru natembea na rungu
Ndani ya kibenje nimesunda mapingu
Kama Judas wanataka kunimunju
Nawafukuza wakanurse mauchungu

Mimi na wewe sio mandugu
Ukinicheki sepa hepa, ukipiga nduru
Mtaa yangu wanajua mimi kurutu
Coz nawadiscipline kama sungu sungu

Nabonga mob mdomo yangu si broken
Ukidai more naadisia kama token
Mistari zangu zimeshona swollen
Nadedi vako za 12 kama dozen

Eque kabaya yes i'm rotten
Ka we ni bestie yes you chosen
Ukiringa kwangu you fallen
Vile nawachoma I am the oven

Mi ni Wairimu kwa ile stori ya Cohen
Kinyume cha hen ni heaven
Kuna vitu mtadai ni stolen
But kwangu your lingo is fallen

We ni fisi buda cum ndani ya CD
Siwezi beba mtoi wako mimi
Nilikustalk na Whatsapp ya GB
Na chuma yako ni ya inch mbili

Wewe ni hater kaa mbali
Wewe ni fake kaa mbali
Wewe ni fisi kaa mbali
Mimi sitaki kaa mbali

Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi
Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi

Wewe ni hater kaa mbali
Wewe ni fake kaa mbali
Wewe ni fisi kaa mbali
Mimi sitaki kaa mbali

Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi
Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi

Kaa mbali, kaa mbali 
Kaa mbali, kaa mbali 
Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi
Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi

Kaa mbali, kaa mbali 
Kaa mbali, kaa mbali 
Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi
Kaa mbali kaa mbali
Kaa mbali na mimi

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Ngeli ya E.Que (EP)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

EQUE

Kenya

EQue is a rapper from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE