Watora Mari Lyrics
Oh darling,
Ukazunza mazakwatira watora mari, oh mari mama,
Oh darling,
Ano mira mira apa newe ndiani,
Wakanga uripiko inini ndiripo
Coz am falling every minute for you,
I don't wanna let you go,
Wakamwaga pesa kisafi
Baby show me something more,
Coz am falling every minute for you,
Ah darling,
Ndatatamuka kunge ndandi
Inini handichagone
Usasome moyo kungenjanji
Oh darling,
Ukazunza mazakwatira watora mari, oh mari mama,
Oh darling,
Ano mira mira apa newe ndiani,
Diamond
Eh siku hizi kijidigital, unapata ambacho unakiona,
Ya nini hosipitali wakati kwako napona,
Mapenzi si suruali, useme ikichanwa nitashona,
Hivyo chode tafadhali, husinieke miba itanichoma,
Wakaja wa magari(waitege),
Na nyumba za kifahari,(waitege),
Wakalamba asali ahi wakaniachia doro, ah
We paja me kidali(watete)
Chips kachumbari(watete)
Kwa nini niserve ugali sijazoea viporo,
Teenderera
Wakamwaga pesa kisafi
Sumukira
Wakamwaga pesa kisafi
Tsika panopisa darling
Wakamwaga pesa kisafi
Teenderera
Wakamwaga pesa kisafi
Oh darling,
Ukazunza mazakwatira watora mari, oh mari mama,
Oh darling,
Ano mira mira apa newe ndiani,
Jah prayzah
Mukandiona nda tetereka, rudo rwatambarara serunyemba
Inini ndikatetereka, musati ndiri rombe amai kani
Inini ndikanyangandika ndapera nerudo ini
Ah darling,
Ndatatamuka kunge ndandi
Inini handichagone
Usasome moyo kungenjanji
Jah prayzah
Amai, ah, haikona kukendenga,
Amai ah, uringanganga,
Amai, ah, haikona kukendenga,
Amai ah, uringanganga,
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2016
Album : Watora Mari (Single)
Copyright : (c)2016 Wasafi Records
Added By : Trendy Sushi
SEE ALSO
AUTHOR
DIAMOND PLATNUMZ
Tanzania
Naseeb Abdul Juma ( born on 2nd October 1989 ), popularly known by his stage name Diamond Platnumz, ...
YOU MAY ALSO LIKE