Home Search Countries Albums

Rere (Katika)

DEZIAN Feat. BOONDOCKS GANG

Rere (Katika) Lyrics


Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye

Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave
Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave

Kwera kwera hapa hulengi mblein kama ni kwera
Hakuna story ya kata zimeshika juu ya mavela
Sina story ya feeling hapo ujue mi si Dela
Na ka ni ndwanga hapa bana ka ni njuang'a 

Gura ka ni chang'aa kama jo mchanga
Mchanga ju ni mchanga
Mmmh unatetema kakitamba
Utajua ma odi bana ni visanga

Mmmh tumteke kwa kitanda
Akiharibu sana buda si ni danda
Mmmh akisema ni NACADA
Juu ya mavela hapa si unajua baba

Mmmh utapigwa fimbo hadi Kimbo
Hadi ushike dimbo ju ya madiplo
Na ufinye finye uweke nginyo
Ni thobothe ndani hadi kifo

Akileta chingri nina biko
Na ujue bana hapa siko
Akisema bana ni mammito
Na matoy bana ni madildo

Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye

Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave
Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave

Ka ni form  nimejipin na kindom
Ni kingori unajua ni kia ngong
Niko rada na si Karamojong'
Niko club akidance kwa hii song

Mkuruweng' nikiburn niko mandom aah
Cheki vile tu ngeus amejipa
Tunasere hadi tu saa sita
Ako rieng' tu rada ya mapizza

Cheki vile nikiwasha ni ma iza
Cheki vile tu niko marizler
Niko moja ni saa sita
Wacha zako twende iza
Cheki buda ni ma idhaa
Vile nakam ni makiller
Si tequila nikikata
Ni ki ng'ang'o kia maridha 

Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye

Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave
Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave

Ujuzi pia ni talanta
Pita jo ukirudi tunakungoja
Mmmh msupa wako wa kwanza
Ka ukijua huyo ndo wangu wa saba

Mmmh mimi keja natoka getho gwai
Na mapesa za sadaka nilinyonya ngwai
Mmmh nani alisema ujana moshi 
Na mbona nikiwasha fagi murajeta muici

Mmmh tigana na fagi we Mwagi 
Naeza maka nimjaze kwa hizo matangi
Mmmh tigana na fagi we Mwagi 
Naeza maka nimjaze kwa hizo matangi

Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye

Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave
Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Rere (Katika) (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DEZIAN

Kenya

Dezian is an artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE