Home Search Countries Albums

Hallelujah Lyrics


"Baba ukiona mtu ako na hizi mnaita baraka
either ni mchawi, mwizi ama ni kahaba
uko tayari twende"

Padi yote yanawezekana
kuwa tu na imani, imani tu itatosha
wewe umerogwa..

Mungu wangu mi ni mwema
Hili neno ninasema
Nikisema ni nehema tu mimi ni wake

Mungu wangu mi ni mwema
Hili neno ninasema
Nikisema ni nehema tu mimi ni wake

Kanilinda na majanga mimi ni wake
Kwake Mungu mimi nimezama
Kwenye nguvu za mauti kanipa uhai baba
Kwake Mungu mimi nimezama

Hallelujah Hallelujah
Hallelujah naimba sifa za bwana
Hallelujah Hallelujah
Hallelujah naimba sifa za bwana

(Padi talking)

Hallelujah Hallelujah
Hallelujah naimba sifa za bwana
Hallelujah Hallelujah
Hallelujah naimba sifa za bwana

Kwa damu, Hallelujah
Mwanadamu, Hallelujah
Akapata zamu ya kukombolewa

Kwa damu, Hallelujah
Mwanadamu, Hallelujah
Akapata zamu ya kukombolewa

Ooh kwa damu yake nikapata uhuru
Kwa damu yake mwanakondoo
Nikawekwa upya na huru

Hallelujah, Hallelujah
Hallelujah, Hallelujah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Hallelujah (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DASHKIE

Kenya

Dashkie is a kenyan gospel artist. ...

YOU MAY ALSO LIKE