Tingisha Mguu Lyrics
Kasema anataka bolingo
Kasema anataka dombolo
Na ni kazana kwa bolingo
Kumbe mtoto hachoki kucheza
Monday mpaka Sunday ni burudani tu
Nyumbani kumenoga kama ni sikukuu
Haya bibi Insta DJ, heeee
Pale pandisha sauti, leta mizuka
Tunacheza kwa mapozi tingisha mguu
My cherrie nyoso tingisha mguu
Mchana kwenye mishe mishe kila kona tunacheza
Tingisha mguu
Usiku kwenye bata kali tunaruka na kucheza
Ane ma zwe nyeta pinda cheza, tingisha mguu
Ane ma zwe nyeta pinda cheza
Watoto wa Kigali na mitindo kwenye dancefloor
Hakuna michezo tulifunga tukakuwa show
-----
Monday mpaka Sunday ni burudani tu
Nyumbani kumenoga kama ni sikukuu
----
Mchana kwenye mishe mishe kila kona tunacheza
Tingisha mguu
Usiku kwenye bata kali tunaruka na kucheza
Ane ma zwe nyeta pinda cheza, tingisha mguu
Ane ma zwe nyeta pinda cheza
Cheza na debe pole nyingisa
Kichwa bega tingisha
Na debe pole nyingisa
Kichwa bega tingisha
Pombe ninakunywa mdomoni sio kwa miguu
Acha miguu yangu
Pombe ninakunywa mdomoni sio kwa miguu
Acha miguu yangu
Mchana kwenye mishe mishe kila kona tunacheza
Tingisha mguu
Usiku kwenye bata kali tunaruka na kucheza
Ane ma zwe nyeta pinda cheza, tingisha mguu
Ane ma zwe nyeta pinda cheza
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : CBO 5G (Album)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
CHRISTIAN BELLA
CONGO (DRC)
CHRISTIAN BELLA is a congolese singer based in Dar Es Salaam Tanzania. ...
YOU MAY ALSO LIKE