Home Search Countries Albums

Nisamehe Lyrics


Nishahangaika kote kushoto kulia
Nifanye nini unisamehe
Naona kama sipo kuishi bila wewe
Napata shida unisamehe

Moyoni nimebabuka
Amani sina mpenzi nisamehe
Basi fanya yaishe
Usisubiri niteketee nisamehe

We ndio dereva wa maishani
Usikatishe safari
Malengo tuyafikie
Niliteleza nakubali

Moyoni nimebabuka
Amani sina mpenzi nisamehe
Basi fanya yaishe
Usisubiri niteketee nisamehe

Alila lila (Naomba nisamehe)
Alila lala (Naomba nisamehe)
Saba mara sabini bibi naomba nisamehe
Turudi kama zamani bibi basi we kaa chini (Naomba nisamehe)
Yakakakaya...kayanga bolingo we (Naomba nisamehe)
Zokaya kaya kaya... bolingo na lingiyo 

Si ulisema mimi chupa na wewe mfuniko baby
Unataka kuniacha wazi niadhirike
Na ukasema labda kitutenganishe kifo
Tutakuwa mwisho wetu wa mapenzi mimi na wewe

Mangapi tunakosea kila siku chini ya jua
Tukitubu tukiomba Mungu baba anatusamehe
Nahisi kiungulia, mwii umetoa....Nisamehe

Alila lila (Naomba nisamehe)
Alila lala (Naomba nisamehe)
Saba mara sabini bibi naomba nisamehe
Turudi kama zamani bibi basi we kaa chini (Naomba nisamehe)
Yakakakaya...kayanga bolingo we (Naomba nisamehe)
Zokaya kaya kaya... bolingo na lingiyo 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nisamehe (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CHRISTIAN BELLA

CONGO (DRC)

CHRISTIAN BELLA  is a congolese singer based in Dar Es Salaam Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE