Accueil Recherche Pays Albums

Boss Lyrics


Hupaswi kukaa kinyonge ukiwa na mi
Jiachie, jihisi upo peponi
Ita rafiki zako, kina nani
Waambie, mbuzi iko jikoni

Ng'ang'ana na mimi nyota usafirie
Kaa karibu na waridi unukie

Jiamini, 
Tena uringe ukiwa na mimi
Sema unataka nini?
Gari, pesa, manyumba madini

Aah, napenda unavyonipaga 
Mapocho pocho(pocho pocho)
Ndio maana nakuhongaga
Maposho posho(posho posho)

Kashepu kako ka kumwaga
Mbwete mbwete(mbwete mbwete)
Ndio maana ukikata kidogo ni
Tepe tepe(tepe tepe)

Kwenye party leo,
Sema champaigne wanataka wapi?
Gucci, unataka LV
Ama unataka kuvaa D&G

Utatoka na Ferrari 
Ama unataka Lamboghini
Make up nzuri kwa natali
Chombo moniii

Wanasema Boss, boss boss
Boss, me ndio boss
Wanasema Boss, boss boss
Boss, me ndio boss

Ah, am a billionare
Unachotaka utapata kwangu
Am a billionare
Wavimbe wapasuke mimi sijali

Mtoto alivyo umbika
Haja ni talentika
Amenikamata
Sina ujanja mie

Niache niringe mie
Niache nideke mie
Anavyonipenda
Mi nampenda mie

Nikiwa na wewe najiamini
Sitaki vijana wa mjini
Nyumba gari na madini
Nipe baby

Nikaishi na wewe milele
Daima nitakuweka mbele
Maisha yangu umebadili wewe
Baby

Baby wangu wewe, hii level si 
Local local(local local)
Ndio maana vyako vitendo si
Local local(local local)

Moyo wangu umeshalowa
Nyege nyege(nyege nyege)
We fuko la pesa sipigi
Teke teke(teke teke)

Cherie na kayo mingi eeh
Ozali mobali yali nanga
Ato malise pamba eeeh
ngana kolinga kakayo

Jtem jtem,
Kurvi motema na ngai
Cherie eeh

Napenda unavyonipaga 
Mapocho pocho(pocho pocho)
Ndio maana nakuhongaga
Maposho posho(posho posho)

Kashepu kako ka kumwaga
Mbwete mbwete(mbwete mbwete)
Ndio maana ukikata kidogo ni
Tepe tepe(tepe tepe)

Wanasema Boss, boss boss
Boss, me ndio boss
Wanasema Boss, boss boss
Boss, me ndio boss

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Boss (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CHRISTIAN BELLA

Congo RDC

CHRISTIAN BELLA  est un artiste musicien congolais (RDC) résidant à Dar es Salam ...

YOU MAY ALSO LIKE