Waisome Lyrics

Watanzania leo tunafaidi, ah lalalala
Spidi ya Magufuli sio baridi, lalalala
Anatimiza yote aloahidi, lalalala
Kurudi ikulu tena haina budi, lalalala
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Umedhibitisha umma
Magu ndo Rais anayetufaa
Tunaamini sera zake
Na wale walioko chini yake
Mama Samia, Majaliwa
Jepu vigogo tunaishi nao sawa tu
Spika Dugai, Jaji mkuu
Awamu ya tano mko lit naona kazi tuu
Baba sisi tunashukuru wala hatutolalama
Aaaah- aaah --aaah
Hatutaki kufuru taifa liende salama
Aaaah- aaah --aaah
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Magufuli mbele kwa mbele
Taifa lisonge
Makonda mbele kwa mbele
Dar isonge
Mwakembe mbele kwa mbele
Michezo lisonge
Kigogwa la mbele kwa mbele
Gari lisonge
Wafanyi wa biashara
Machinga Kariakor
Sasa wako huru
Hakuna kukabwa koo
Walipa kodi za majengo
Walipa kodi za biashara
Walipa kodi za maduka
Hakuna foleni
Baba sisi tunashukuru wala hatutolalama
Aaaah- aaah --aaah
Hatutaki kufuru taifa liende salama
Aaaah- aaah --aaah
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Watanzania leo tunafaidi, ah lalalala
Spidi ya Magufuli sio baridi, lalalala
Anatimiza yote aloahidi, lalalala
Kurudi ikulu tena haina budi, lalalala
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Waisome (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
CHEGE
Tanzania
CHEGE CHIGUNDA, born Said Juma Hassani on October 8th, 1979, is a singer, song writer and dancer fro ...
YOU MAY ALSO LIKE