Home Search Countries Albums

Karibu

CHARISMA

Karibu Lyrics


Oh baby
I’d like to confess kuna wengi waresh
But you’re the best of the best
Na oh daily I thank God that we met
I don’t have no regrets
Mpaka tuwe wazee
We ndio pekee
Nani atakupenda
Vile nakupenda
Wengine watasema
Lakini hawatatenda
Nani atakupea
Penzi la forever
Hakuna mahali me ntaenda
No

Nikiwa karibu
Nikiwa karibu
Nikiwa karibu
Nikiwa karibu nawe
Nikiwa karibu
Nikiwa karibu
Nikiwa karibu
Njoo niwe karibu nawe

I’m ready to try everything
Kila kitu nitajaribu
Niwe Karibu, my love
Coz you know you’re my everything
Na ata wakitry kuharibu
Wale wenye wivu
Hawataweza
Wengi wao watatusema, wataongea chini ya meza
Wakijaribu si kututenga
Lakini hawataweza
Me Na wewe Mpaka forever
Na siogopi nishajisema Na mpaka jaba nilishatema
Mama

Nikiwa karibu
Nikiwa karibu
Nikiwa karibu
Nikiwa karibu nawe
Nikiwa karibu
Nikiwa karibu
Nikiwa karibu
Njoo niwe karibu nawe
Nawe nawe nawe nawe nawe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Beneath The Surface (EP)


Copyright : © 2022 Luhya Heat Entertainment


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

CHARISMA

Kenya

Kenyan musician Fidel Shammah known as Charisma aka Luhya Heat and Mr Sababisha is a pop artist who ...

YOU MAY ALSO LIKE