Accueil Recherche Pays Albums

Upepo wa Kisuli Suli

BUGANGA

Upepo wa Kisuli Suli Lyrics


Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli

Dada mimi ndio nimefika
Maombi yako yamejibiwa
Si unaona nguvu ya upepo
Imenileta mpaka ulipo

Usinikatae bwana
Kwani hutaki kuolewa
Hata mimi sikupenda 
Nimepeperushwa tu nikaletwa

Sijakutuma ukaombewe
Ni lazima unikubalie
Hata mimi sikupendi
Ndio sasa sina jinsi 

Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli

Upepo una nguvu sana
Umenifikisha bila kupenda
Lakini si sawa bwana
Hebu nipatie namba

Ninajua umeombewa
Sio mpaka nikupe hela
Habati unaichezea
Kubali bila kuchelewa

Sijakutuma ukaombewe
Ni lazima unikubalie
Hata mimi sikupendi
Ndio sasa sina jinsi 

Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Upepo wa Kisuli Suli (Single)


Copyright : (c) 2019 Lyuta Inc.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BUGANGA

Tanzanie

Buganga Ntemi aka Buganga is an artist/comedian/actor  from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE