Nachechema Lyrics

Hey hey honey
Wengi wajiuliza ulinipa nini
Upendo namba moja sio sufuri
Mie kwako mtoto nideke
Ukiona naanguka nibebe
Oooh oooh
Mchana tunagombana
Usiku tunapatanaga
Na vile unanipendaga
Ooh mama yote nishasahau
Nimekupa moyo wangu
Kama zawadi
Na nitaituza heshima yako
We ni mali yangu
Nimekupa moyo wangu
Kama zawadi
Na nitaituza heshima yako
We ni mali yangu
Nimenasa sibanduki babe
Na nimekita sifurukuti lady
Mmmh yeah nachechema
Hatua moja na mbili ya tatu sisogei (Nachechema)
Oooh baby bila wewe sijiwezi mama (Nachechema)
Hatua moja na mbili ya tatu sisogei (Nachechema)
Oooh baby bila wewe sijiwezi mama (Nachechema)
Mmmh mmmh mmmmh (Nachechema)
Wanaona wivu hawataki niwe na wewe
Na watajijiju dua za kuku hazipati mwewe
Sie twala mbivu wacha wao waumie
Wamelipata jibu habari zetu ziwafikie
Wewe ukitoka niko nyuma
Wivu ndo mapenzi kukuchunga
Ujue mi mwenzako ushanifunga
Cherrie eeh eeh
Nimenasa sibanduki babe
Na nimekita sifurukuti lady
Mmmh yeah nachechema
Hatua moja na mbili ya tatu sisogei (Nachechema)
Oooh baby bila wewe sijiwezi mama (Nachechema)
Hatua moja na mbili ya tatu sisogei (Nachechema)
Oooh baby bila wewe sijiwezi mama (Nachechema)
Mmmh mmmh mmmmh
Nimekupa moyo wangu
Kama zawadi
Na nitaituza heshima yako
We ni mali yangu
Nimekupa moyo wangu
Kama zawadi
Na nitaituza heshima yako
We ni mali yangu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Nachechema (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
BROWN MAUZO
Kenya
Brown Mauzo whose real name is Fredrick Mtinda was born on 31st December. He is a Kenyan musician wh ...
YOU MAY ALSO LIKE