Dawa Lyrics
Wako uzuri kama dem wa ndotoni
Niko nawe najihizi kama niko peponi
Can you be my wife nikuweke ndani
I don't want no one else but you
When you smile, when you smile baby
Kabisa wanimaliza
We ni raha, we ni raha
Wajua kunichombeza
When you smile, when you smile baby
Kabisa wanimaliza
We ni raha, we ni raha
Wajua kunichombeza
Kwangu we dawa, dawa, ooh
Yaani Adamu na Hawa, Hawa
Kwangu we dawa, dawa, ooh
Yaani Adamu na Hawa, Hawa
Mi bado, bado nabaki na wewe
Mahaba niue ue, nizikwe na wewe
Mi bado, bado nabaki na wewe
Mahaba niue ue, nizikwe na wewe
We peke yako ndo unanikolezaga
Unaniwezaga
Mbele yaelea na nanga imezama
Ooh baby
Umenifumba macho yangu, mwingine simwoni
Ukaniteka hisia zangu, mapenzi ni upofu
Umenifumba macho yangu, mwingine simwoni
Ukaniteka hisia zangu, mapenzi ni upofu
When you smile, when you smile baby
Kabisa wanimaliza
We ni raha, we ni raha
Wajua kunichombeza
When you smile, when you smile baby
Kabisa wanimaliza
We ni raha, we ni raha
Wajua kunichombeza
Kwangu we dawa, dawa, ooh
Yaani Adamu na Hawa, Hawa
Kwangu we dawa, dawa, ooh
Yaani Adamu na Hawa, Hawa
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Dawa (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
BROWN MAUZO
Kenya
Brown Mauzo whose real name is Fredrick Mtinda was born on 31st December. He is a Kenyan musician wh ...
YOU MAY ALSO LIKE