Must Be Nice Lyrics

Kaka braza acha nikuambie kitu
Usiwai cheza na dem anapenda anasa
Najiuliza singefanya blunder
Ungekuwa wangua ama unatembeza kwa chama
Na ukisota ujue hio ni karma
Na ukirogwa nilienda kwa mganga
Na ukikufa nitakuja hio matanga
Nikuteme taxin ya jaba
Nimecheki story zako it must be nice
Uko na mashoga wako unajinice
Nilikuwa ready kumake ma sacrifice
Lakini ushamove on baby it must be nice
Oooh, it must be nice
Oooh, it must be nice
Nilikuwa ready kumake ma sacrifice
Lakini ushamove on baby it must be nice
Si watu huachana
Kawaida ya mapenzi ya mavijana
Kawaida ya mapenzi ya wasichana
Kawaida ya ma ah ah ah
Si watu huachana
Kawaida ya mapenzi ya mavijana
Kawaida ya mapenzi ya wasichana
Kawaida ya ma sshh sshh
All in all hii love ilikuwa comical
Hakuna theory kila time ni practical
Nikajipata naface time na pastor
Ndani ya mazda na dem wa jana
Come we stay Amberay
Divorce party yetu performance Omah Lay
Must be nice kuloose virginity twice
Must be nice body count haiko kwa dice
Nimecheki story zako it must be nice
Uko na mashoga wako unajinice
Nilikuwa ready kumake ma sacrifice
Lakini ushamove on baby it must be nice
Oooh, it must be nice
Oooh, it must be nice
Nilikuwa ready kumake ma sacrifice
Lakini ushamove on baby it must be nice
Si watu huachana
Kawaida ya mapenzi ya mavijana
Kawaida ya mapenzi ya wasichana
Kawaida ya ma ah ah ah
Si watu huachana
Kawaida ya mapenzi ya mavijana
Kawaida ya mapenzi ya wasichana
Kawaida ya ma sshh sshh
Fisi fisi fisi, Luhya heat
Charisma, Alenjandro
Hatuna pressure
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Must Be Nice (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
BENZEMA
Kenya
Benzema David aka Alejandro is a Kenyan rapper/artist from Ochungulo family which is one of the best ...
YOU MAY ALSO LIKE