Walimwengu Lyrics

Ah mwali wa dodoma chotara
Nairobi Kenya
Nitakulinda kwa panga bastola
Wasije ninyang'anya
Vijipesa navyokupa kukuhonga honga
Uvitunze vizuri
Nataka tujichange tununue kagari
Tuwe na usafiri
Na tufanye juhudi
Kiroba cha unga tuwe nacho ndani
Vichenji vikirudi kutoka dukani
Tuweke kibabani
Mchawi anaua alafu analia
Walimwengu jamani
Muda nakupotezea, nakuchezea
Utaskia wakisema
Hao walimwengu, hao walimwengu
Hao walimwengu, hao walimwengu
Hao walimwengu, hao walimwengu
Asa twende kongwa tukatembee
Tinge moka koti la kitenge
Gauni la maua upendeze
Jioni turufi kwa Itembe
Furaha yetu yawatesa, maumivu kwao
Wanatapa tapa wanakerekwa, wana wivu hao
Wanakaa vikao visivyoisha, imekula kwao
Wanafanya kazi ya kanisa, kudadeki zao
Asa bam bam bam
Kama unainama bam bam bam
Fanya kuchutama bam bam bam
Zishaendana dam dam dam dam
Asa bam bam bam
Kama unainama bam bam bam
Fanya kuchutama bam bam bam
Zishaendana dam dam dam dam
Mchawi anaua alafu analia
Walimwengu jamani
Muda nakupotezea, nakuchezea
Utaskia wakisema
Hao walimwengu, hao walimwengu
Hao walimwengu, hao walimwengu
Hao walimwengu, hao walimwengu
(The Mix Killer)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Walimwengu (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
BEN POL
Tanzania
Benard Michael Paul Mnyang'anga aka Ben Pol is an award-winning singer and songwriter mainly pro ...
YOU MAY ALSO LIKE