Kidani Lyrics

I wish unipende, unichunge
Nisiende kwengine
Tena unifunge
Unifumbe na macho nisione mwingine
Mmmh naheshimu maamuzi
Hisia kuwa nawe
Usinifanye nijutie
Nionekane mpuzi dunia unishangae
Penzi langu
Nahifadhi mapenzi tuyafanye baadae
Penzi lako utamu wa asali, baby nipe
Nikabidhi nipe kibali, kwa mbwembwe ni tamu
Penzi tamu asali, ooh baby nipe
Nikabidhi nipe kibali
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Unajua we ndo dawa
Mwenzako nikiugua
Kukukosa nachachawa
Bila shaka unajua
Tena kwako mimi si chochote
Sisikii sioni, sijiwezi kwa lolote
Maneno ya nje tusije yapa mwanya
Oooh my love, fikisha kipimo usijeyagawanya
Oooh my love, heshima upendo na kudhaminiana
Oooh my love, tufike malengo tukishirikiana
Penzi lako utamu wa asali, baby nipe
Nikabidhi nipe kibali, kwa mbwembwe ni tamu
Penzi tamu asali, ooh baby
Nikabidhi nipe kibali
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ooh ooh, nalala, nalala
Nalala, nalala, nalala, nalala
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Kidani (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
BEN POL
Tanzania
Benard Michael Paul Mnyang'anga aka Ben Pol is an award-winning singer and songwriter mainly pro ...
YOU MAY ALSO LIKE