Home Search Countries Albums

Kidani

BEN POL

Kidani Lyrics


I wish unipende, unichunge
Nisiende kwengine
Tena unifunge 
Unifumbe na macho nisione mwingine

Mmmh naheshimu maamuzi 
Hisia kuwa nawe
Usinifanye nijutie
Nionekane mpuzi dunia unishangae
Penzi langu
Nahifadhi mapenzi tuyafanye baadae

Penzi lako utamu wa asali, baby nipe
Nikabidhi nipe kibali, kwa mbwembwe ni tamu
Penzi tamu asali, ooh baby nipe
Nikabidhi nipe kibali

Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala

Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala

Unajua we ndo dawa
Mwenzako nikiugua
Kukukosa nachachawa
Bila shaka unajua

Tena kwako mimi si chochote
Sisikii sioni, sijiwezi kwa lolote
Maneno ya nje tusije yapa mwanya
Oooh my love, fikisha kipimo usijeyagawanya
Oooh my love, heshima upendo na kudhaminiana
Oooh my love, tufike malengo tukishirikiana 

Penzi lako utamu wa asali, baby nipe
Nikabidhi nipe kibali, kwa mbwembwe ni tamu
Penzi tamu asali, ooh baby 
Nikabidhi nipe kibali

Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala

Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala

Ooh ooh, nalala, nalala
Nalala, nalala, nalala, nalala

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Kidani (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEN POL

Tanzania

Benard Michael Paul Mnyang'anga aka Ben Pol is an award-winning singer and songwriter mainly pro ...

YOU MAY ALSO LIKE