Home Search Countries Albums

Watete Lyrics


Sijui nikuite jina gani
Ama nikuite baby
Umenificha ndani ndani 
Ama nikuite cherrie
Susua, macho na tabia twaendana
Aah kachora tattoo kwenye paja ang'ara

Zidisha chumvi unikoshe 
Nipe kwa mapana nikoroge
Ikishuka chini irejeshe
Achana na mafisi watete

Vile unanibembeleza
Kama ni usingizi doro, mi doro
Ata waseme watachoka
Kwako mi nibaki solo, mi solo

Aah watete, aah watete
Aah wate wate wate watete
Aah watete, aah watete
Aah wate wate wate watete

Unavyosogea nah nah nah
Napata goosebumps na na na
Come taste my banana
Gal you make me loco

Nikupe pochi baby nah nah nah
Upate joto kidogo
Ikikupana nyonya na nah nah nah
Gal you make me loco

Unavyonibembeleza
Kwenye usingizi doro, mi doro
Hata waseme watachoka
Kwako mi nibaki solo, mi solo

Aah watete, aah watete
Aah wate wate wate watete
Aah watete, aah watete
Aah wate wate wate watete

Ulivyofundi unajua kukata
Wachenga chenga kama Wanyama
Unavyonipa mwenzio nadata
Sasambua nionyeshe shanga
Unavyokata ndo mi nadata
Nichambue kama karata

Unavyonibembeleza
Kwenye usingizi doro, mi doro
Hata waseme watachoka
Kwako mi nibaki solo, mi solo

Aah watete, aah watete
Aah wate wate wate watete
Aah watete, aah watete
Aah wate wate wate watete

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Watete (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

B CLASSIC 006

Kenya

B Classic 006 is an artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE