Home Search Countries Albums

Neno La Kalvari

AMBWENE MWASONGWE

Neno La Kalvari Lyrics


Nakuhitaji, Bwana wangu
Mimi niko wazi unisikilize
Kama utapita njia hii
Uje unione, nikuonyeshe mahali panapouma

Moyo wangu, wanaona shauku
Eee Yesu Bwana wangu unirehemu
Mwili wangu unaumwa kweli nimechoka
Hatwa waoaniuguza nao wamenichoka

Maisha yangu yamekuwa gharama
Kweli nakuhitaji wewe tu
Usiniache peke yangu nita aibika

Linga kwisa, gwendepo pamyangu
Nguhelepo simo isya munda myangu
Lelo linga kukinda ungikindaga kimyeye
Ujobhe ilisyu limo na une angusangaluka

Tata umbumbulusyege, umbumbulusyege
Usyele gwimwene gwe mmanyani gwani
Linga nakupalaga imbalo
Jesu gwe mmanyani gwangu
Nakukolelaga ingamu jako
Natigi Jo ugwe Mwajesu

Enaa enaa enaa enaa
Usyele gwimwene gwe mmanyani gwangu
Enaa enaa enaa enaa
Usyele gwimwene gwe mmanyani gwangu

Maji yakimwagika yasizoleke tena
Nitakufuata wewe, uwezaye yazoa
Upepo ukinivumia na kuniacha sina kitu
Nitakukimbilia wewe uwezaye kuushika kwa konzi

Roho ikifa ndani yangu
Nikabaki na mwili wa mnyama
Nitasubiri neema yako
Kisha nitazaliwa upya
Ninaibariki kazi ya msalaba
Ninaibariki kazi ya msalaba

Neno la Kalvari, neno la Kalvari
Limeleta ushindi, neno la Kalvari
Ninalibariki, ninalibariki
Jina lako libarikiwe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Neno La Kalvari (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

AMBWENE MWASONGWE

Tanzania

Ambwene Obadia Mwasongwe  is a gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE